Wachezaji hawana kiu ya kushindania second balls yaani hii tatizo tangu October mpaka leo lipo pale pale...
Timu pinzani sasa wanatuchezea ule mpira wetu wa kuhakikisha we win the second ball, close the channels nk yale yote yaliyotufanya tuwe dominant miaka yote sasa tumeyaacha na kucheza wanavyojua wao.. Klopp nae hasaidii sana tunakua open vile na bado anategemea Trent na Robertson wapande juu kupeleka mashambulizi aafu hata kabla hayo mashambulizi hayajaanza tunakoponywa mpira mpaka hapo VVD na Konate wanakua exposed kwa kua Henderson na Fabinho hii combination imegoma kabisa kwa sasa..
Angalau uhakika wa hio Big 4 haupo na hii ni blessings in disguise kwa Klopp kwa kua FSG wataumia haswa kipesa na itawapa somo kwamba mpira ni uwekezaji edelevu sio one stop buy aafu wanasubiri maajabu ya Klopp..
Ingekua safi sana hata huko Europe League tusiwepo kuwatia adabu hawa ma Yankees.
YNWA