Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Trent [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2960]
20230401_165238.jpg
20230401_165240.jpg
 
Honestly tunahitaji 2 CB na 2Midifilder
Wachezaji hawana kiu ya kushindania second balls yaani hii tatizo tangu October mpaka leo lipo pale pale...

Timu pinzani sasa wanatuchezea ule mpira wetu wa kuhakikisha we win the second ball, close the channels nk yale yote yaliyotufanya tuwe dominant miaka yote sasa tumeyaacha na kucheza wanavyojua wao.. Klopp nae hasaidii sana tunakua open vile na bado anategemea Trent na Robertson wapande juu kupeleka mashambulizi aafu hata kabla hayo mashambulizi hayajaanza tunakoponywa mpira mpaka hapo VVD na Konate wanakua exposed kwa kua Henderson na Fabinho hii combination imegoma kabisa kwa sasa..

Angalau uhakika wa hio Big 4 haupo na hii ni blessings in disguise kwa Klopp kwa kua FSG wataumia haswa kipesa na itawapa somo kwamba mpira ni uwekezaji edelevu sio one stop buy aafu wanasubiri maajabu ya Klopp..

Ingekua safi sana hata huko Europe League tusiwepo kuwatia adabu hawa ma Yankees.


YNWA
 
Kama Bournemouth tulimpiga 9 - 0
Akaja Nyumbu nae tukampiga 7 - 0
Hawa wadogo zake nyumbu leo na wenyewe tukiwahurumia sana basi tunawagonga 5 - 0 alisikika Saint Anne akiropokwa baada ya chupa nne za Balimi kupanda kichwani.
Naona ukitoa kile kikombe cha alkasusu mlichopewa,kombe lenu lingine ni liver kufungwa na Man city

Bado zile saba tulizowachapa ziko palepale
 
Sijahangaika kuangalia.

Ila angedaka yule dogo
Mbona ni mzuri!
Ifike muda Allison naye apate mbadala
😂 😂 😂 😂 Ushanyayua mikono kumbe... Tazama highlight uone.

Allison ni pound for pound gk they come rarely na bila yeye kutuweka mchezoni msimu huu kuna uwezekano tungekua nafasi ya 15 huko...

Msimu huu kama Alison hatapata mchezaji bora wa msimu huu Liverpool basi kuna hujuma, dogo anajitahidi sana lakini wale wenye jukumu la kumpa ulinzi wamepoteana wamebaki kurushiana maneno kushoto kulia...

Sisemi kama Kelleher hawezi anayofanya Allison pengine anaweza kwa hata bora lakini hatuna muda wa trial n error pale golini wakati ndani defence pameoza.. binafsi naona big chance saver nitasimama na Allison any day of the week.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom