Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

View attachment 2560446
Aisee maskini Klopp kwa mara nyingine tena FSG wamempa za uso.

Kama alivyoelezea MosDef huyu dogo Klopp amekua akafanya kila linalowezekana kwa miaka miwili iliyopita ili atue Liverpool lakini huyoo sasa asilimia kubwa tu atatu Manchester City ambao wanajiaadaa maisha bila Gudgon, Silva nk.

Pamoja na mapungufu ya FSG tukumbaliane pia Director of football pale Ethad bwana Txiki Begiristain anajua vyema namna ya kutekeleza majukumu yake ipasavyo.

Maskini Klopp kwa mara nyingine tena listi ya wachezaji aliowakosa inazidi kuongezeka na kua ndefu balaa.

With FSG at the top we are doomed.

YNWA
Klopp fungu la kukosa [emoji1787][emoji174]
 
Hivi huyu mtoto hauzwi?
 

Attachments

  • IMG_20230321_154321_704.jpg
    IMG_20230321_154321_704.jpg
    799 KB · Views: 10
  • IMG_20230321_154323_873.jpg
    IMG_20230321_154323_873.jpg
    769.8 KB · Views: 9
Huyu mdogo wake VVD ananikosha sana yule mtoto.
Timu ikija kutengemaa atatupa raha zisizo kifani.


Ila Trent kabla hajawa Ras nilikuwa namuelewa vibaya..
Kuna kaka yake anafanana naye HB balaa[emoji119]
😂 😂 😂 😂 😂 Kwa hio anyoe ama..

Mdogo wake VVD ndio anachukua nafasi ya Matip au unasema aje.

YNWA
 
Hii timu itakuja kuuwa hawa warembo wakina Saint Anne mtoto Mpaka kakonda shepu la kinyakyu lote kwisha.

Mrs Liverpool njoo timu ya makombe timu gani ina EPL moja tu toka ligi ianze.View attachment 2560948
Yaani nihamie kwenye litimu linalocheza ligi za matopeni huko conference
Litimu kila siku tunalichapa magoli kama netball.


Tangu tumewapiga saba,shape limefumuka kama lote🤣🤣🤣
 
Arthur Melo will leave Liverpool at the end of the season, as expected — he’s returning to Juventus. Buy option clause won’t be triggered. [emoji837] #LFC

“He’s been unlucky with injuries, Arthur is now back but I think he will return to Juventus in July”, agent Pastorello told Tmw.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom