Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sometimes players huwa wana-stop kucheza for the manager, ku-stop kucheza for the manager, ina maana kuwa unakuwa kwa maksudi hufati maelekezo ya manager au kwa maksudi unacheza kwa kiwango cha chini.

Losing a dressing room kwa managers kwenye mpira wa sasa ni rahisi sana, mchezaji kama Salah au VVD, au Alisson akigoma kucheza for the manager, ni lazima manager uwe kwenye hot seat, as club lazima itaegamia kwa players, maana ni business assets.

So, you need father figures kwenye dressing room, kwa mfano now at LFC kuna mambo mengi sana yanaendelea behind the scenes, kuna players ambao hawapo happy na tactics za Klopp, kuna players ambao wameshakata tamaa na msimu, so you need a popular figures kwenye teams ambazo zitakuwa zinawakumbusha hawa wachezaji umuhimu wa kuchezea. our badge, na muhimu zaidi kutengeneza mutual connection kati ya Manager na players.

Mfano, at Spurs, hakuna leaders kwenye ile team, ndiyo maana unaona kabisa Conte anatoka kusema kama yale aliyosema jana, but a LFC, huwezi kuona Klopp. akisema vile, because kuna mutual respect kati yake na players, na hii inatengenezwa na popular players in the dressing room, players ambao wana-act kama brigdes, Milner can call out Klopp kama akizingua, Henderson can call out Thiago kama akizingua, thats leadership.
Duh
Imebidi nikaangalie alichokisema jamaa.


Kumbe kuna muda wachezaji wanacheza chini ya kiwango makusudi!
Basi hao watakuwa pretender wa kiwango cha lami..Mbona machoni huwa hawaonyeshi?

Na hivi huko kambini huwa wanakaa muda wote hadi msimu uishe?
Au huwa wanapata free time kwenda makwao?
 

Attachments

  • Screenshot_20230319-171133.jpg
    Screenshot_20230319-171133.jpg
    113.3 KB · Views: 8
Na mizigo ya Manjesta ni ngumu sana kuuzika lol that team akicheza vyema Casmiro na Fernado basi ushindi upo ila wakipoteana basi ushindi unashaulika... With Casmiro on the field win percentage inakua ova 60% na kama hayupo ni mbaya sana..

I have hope na Klopp maana huyu mzee anajua ku point vipaji rarely anaharibu sokoni hivyo akiwa afforded £200m+ itakua well spent cash kujenga kikosi... Nina imani na Klopp kwamba anahitaji kupewa back up na uzuri kasema mwenyewe kuna baadhi ya mambo yatabadilika tu na pia sasa anaambiwa at point blank aache kua tooo loyal inamcost ushindi hivyo we are heading to a proper June 2023 yenye hope kubwa sana.

YNWA
Kumbe ndo maana jana nimepita jukwaa la akina Allypipi,wapo wanatoa macho wanaulizana itakuwaje Casmiro hayupo🤣


Klopp ana roho nzuri kupita kiasi yule Baba
Hivi anasali kanisa gani huyu?
Bila shaka ni mlokole wenzangu huyu..Hizi roho nzuri namna hii tunakuwaga nazo wachache.
 
View attachment 2558240

Cc allypipi.. Hatujasahau till we meet again msimu mpya ili kufuta huu uteja[emoji23][emoji23][emoji23]

Kwako Saint Anne

YNWA
Dah Asante[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nacheka hapa


Hivi yule kule golini bao la sita alikuwa anafata Nini ndani kabisa ya goli wakati kipa mwenyewe yupo nje [emoji23]
Yeye yupo anadakia mguu


Tulijua kuwanyanyasa hawa wahuni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji91]

Salah akishashika mpira anajua kunyanyasa adui jamani[emoji23][emoji23][emoji23]

Tupate matangazo ya wadhamini kidogo 🤣🤣🤣


Nunez atakuwa mzuri kwenye mipira ya vichwa kama CR7
 

Attachments

  • JamiiForums-2067078115.jpeg
    JamiiForums-2067078115.jpeg
    22 KB · Views: 8
Mimi na Captain Marvelous tuna Imani na Milner
Msitutoe kwenye reli🤣😂😂😂
Klopp is to loyal haya mambo hua yanamchanganya sana kung'ang'ania watu that his weakness na ameshindwa kua adapt kwenye proper transition ya kuachilia baadhi ya wachezaji japo wengine ambao hawakua watu wake aliwatema bila kupepesa macho kama Gini lakini wengine ana soft spot nao kiasi anakua kipofu to see the big picture... FSG ni wamiliki ambao kwao cost comes kabla ya mambo mengine hivyo Klopp anajidanganya mwenyewe kwamba atapewa kikosi kipana kwamba asajili wachezaji angalau wanne huku na Milner asiungane na akina Ox...

Anyway mkataba kashapewa bado kusaini hivyo hii no closed chapter huyu tunae sanaa na Henderson yaaani we are damn doomed....

Abaki Milner powaa tu wametaka wenyewe lakini hatutaki kusikia yale maneno ya Klopp kwamba ana kipengele where he stretch his hand kwenye usajili mara ohh hana pesa za waarabu hizo bla bla hatutaki kusikia kama alivyokomaa babu Milner na ndio akomae sokoni tuone mabadiliko kwa sababu tumechoka sana sisi kuona haya mambo yakijirudia kwa kukosa tu ku react mapema sokoni..

Muda utasema wapi tutasimamia... Natamani kama tukose UCL ili hawa FSG wakome kucheza kamali na uwezo wa Klopp kwamba sion mtenda miujiza 😂😂😂

YNWA
 
Klopp is to loyal haya mambo hua yanamchanganya sana kung'ang'ania watu that his weakness na ameshindwa kua adapt kwenye proper transition ya kuachilia baadhi ya wachezaji japo wengine ambao hawakua watu wake aliwatema bila kupepesa macho kama Gini lakini wengine ana soft spot nao kiasi anakua kipofu to see the big picture... FSG ni wamiliki ambao kwao cost comes kabla ya mambo mengine hivyo Klopp anajidanganya mwenyewe kwamba atapewa kikosi kipana kwamba asajili wachezaji angalau wanne huku na Milner asiungane na akina Ox...

Anyway mkataba kashapewa bado kusaini hivyo hii no closed chapter huyu tunae sanaa na Henderson yaaani we are damn doomed....

Abaki Milner powaa tu wametaka wenyewe lakini hatutaki kusikia yale maneno ya Klopp kwamba ana kipengele where he stretch his hand kwenye usajili mara ohh hana pesa za waarabu hizo bla bla hatutaki kusikia kama alivyokomaa babu Milner na ndio akomae sokoni tuone mabadiliko kwa sababu tumechoka sana sisi kuona haya mambo yakijirudia kwa kukosa tu ku react mapema sokoni..

Muda utasema wapi tutasimamia... Natamani kama tukose UCL ili hawa FSG wakome kucheza kamali na uwezo wa Klopp kwamba sion mtenda miujiza [emoji23][emoji23][emoji23]

YNWA
Tuna imani na Milner
Mitano tena.


Timu inachezewa danadana hii acha tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tushaambiwa Milner ni motivational speaker, tuwe wapole[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Kama vipi Captain si unipe picha kipindi kile niliomba.
Angalau nipoze tu machungu na hizi drama za hii timu[emoji119]
 
Duh
Imebidi nikaangalie alichokisema jamaa.


Kumbe kuna muda wachezaji wanacheza chini ya kiwango makusudi!
Basi hao watakuwa pretender wa kiwango cha lami..Mbona machoni huwa hawaonyeshi?

Na hivi huko kambini huwa wanakaa muda wote hadi msimu uishe?
Au huwa wanapata free time kwenda makwao?

Refusing to play for managers, happens all the time.

At LFC, hii ishawatokea kina Roy Hodgson na Brendan Rogders, infact Brendan Rodgers anakutana nayo hali hii at Leicester now, some players arent playing for him.

Benitez imemkuta at Madrid & Everton, Mourinho pia imemkuta mara chache, especially spell yake ya mwisho at Chelsea, Tuchel at PSG, etc, kwenye Mid-table teams ndiyo inatokea kila siku, ni suala la kawaida kwenye mpira, players are PROS, so wakiona tactics zako hazi-make sense na haziwapi ushindi au kuleta matokeo chanya uwanjani, wana-stop kucheza at their level best (down-tooling).

Camps & dressing rooms ni different terms, Dressing room ni general term inayotumika kuainisha mazingira around the CLUB (Training facilities, resting areas, Club offices & most of all dressing rooms), Training Area, at LFC ni AXA training centre, ndiyo office ya mchezaji, as anaamka kila siku asubuhi kwenda hapo ku-report kwaajili ya training drills na other training sessions, ni kama mtu mwingine anavyoamka kila siku kwenda ofisini, huwa wanatokea majumbani kwao, na mara nyingi reporting time inakuwa ni kuanzia saa 2-3 asubuhi.

Camps, ni zile unaweka kama una tour away from the Club's home base, kama mnaenda tour Asia/USA, mnaenda kuweka camp, mfano msimu huu tumefanya tour Asia kwenye pre-season, so we had to set various camps there, pia during WC tulikuwa na camp dubai, camps & dressing rooms ni very different.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom