Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimemsoma bro
Nimemuelewa sana

Na Mimi naunga hoja mawazo yake,
Kama Milner anabaki basi wampe cheo chochote,awe hata Haji Manara wa timu yetu😊
Ila siyo tena yeye kuingia front kucheza.

Milner mi✊ tena
😂😂😂😂😂Hapana Milner asepe tu kwanza wage bill ipumue ili usajili mpya waje kuchukua nafasi yake kwenye mshahara kwa sababu kwa sasa mapato ya klabu karibu zaidi ya asilimia 70 yanaingia kwenye kuedesha klabu hivyo hatuna hio luxury ya kumbakisha babu kikosini huku tuko hitaji kusajili angalau wachezaji watatu.. Kwa mfano unadhani Jude akitua Liverpool ataingia na mshahara huu wa akina Nunez wakati anaona pale Ethad dogo Haaland anapata mkwaja mrefu ajabu japo upo kwenye bonus na yeye ata demand kuanzia £300k kwa wiki na ma bonus kadhaa sasa kwa staili hio babu Milner atakua mzigo kwa payroll...

Wafuatao mpaka sasa wanatakiwa washaambiwa wasepe
Milner
Keita
Matip
Ox
Firmino

Hawa mkopo
Jones
Fabio.
Doak

Hawa kuuzwa
Salah😂😂😂😂😂typing error.

YNWA
 
😂😂😂😂😂Hapana Milner asepe tu kwanza wage bill ipumue ili usajili mpya waje kuchukua nafasi yake kwenye mshahara kwa sababu kwa sasa mapato ya klabu karibu zaidi ya asilimia 70 yanaingia kwenye kuedesha klabu hivyo hatuna hio luxury ya kumbakisha babu kikosini huku tuko hitaji kusajili angalau wachezaji watatu.. Kwa mfano unadhani Jude akitua Liverpool ataingia na mshahara huu wa akina Nunez wakati anaona pale Ethad dogo Haaland anapata mkwaja mrefu ajabu japo upo kwenye bonus na yeye ata demand kuanzia £300k kwa wiki na ma bonus kadhaa sasa kwa staili hio babu Milner atakua mzigo kwa payroll...

Wafuatao mpaka sasa wanatakiwa washaambiwa wasepe
Milner
Keita
Matip
Ox
Firmino

Hawa mkopo
Jones
Fabio.
Doak

Hawa kuuzwa
Salah😂😂😂😂😂typing error.

YNWA
Adui ukishindwa kupambana naye ungana naye tu.

Mimi naunga mkono hoja
Milner mi ✊ tena hadi atakapochoka.


Ngoja mwaka huu nione hizo conference sijui Europa league zinafanana aje🤣🤣🤣💔
 
Kwenye dressing room kuna mambo mengi sana.
Mimi hata sijui🤣
Ni kama yapi mkuu
Nielekeze japo cha uchache.


Niliona Chelsea pia wanasema Tuchel dressing room blah blah kibao...
Mimi nikawa mtetezi lialia wa Tuchel na sikuona sababu ya kumuondoa.
Pengine ni kwa sababu sijui nje na mechi,ni vitu gani vingine huwa vipo.
 
Klopp kajiharibia sana kaka, but unakumbuka yote haya tulikuwa tunayaongea miaka mitatu nyuma, ni aibu sana, bado tunayaongelea now, ni aibu sana.
True brother haya mambo tuliyasema sana enzi zile Watford wanatupiga na kuvuja rekodi yetu ya kua invincibles na tukatolewa na El Cholo Uefa, hizi discussion zilikuwepo kwa upana hivyo kwa sasa ni mapitio matatizo yale yale sasa yamekua worse kwa kua kwanza umri wa wachezaji wetu bora umesogea sana na pia mahasimu wetu mmoja baada ya mwingine wa narejea kwenye ubora tazama Arsenal, Manchester United kwa namna moja wamejitahidi sana ku address mapungufu yao sokoni na pia kupata walimu sahihi hivyo vita ya EPL sio tena Klopp vs Kipara mbali wengine sasa wameamka huku kuna back bencher Newcastle nae anaonyesha ela za waarabu zikitumika vyema wanataka a piece of the most sort Big 4 spot...

We have gone backwards to 2015 and losing influential figures kwenye staff is way too much to take, na kuja kusikia Edwards, etc felt they couldn't do thier job without kuingiliwa ama kusikilizwa inaonyesha where we are as a club...

Above all kusikia Ward alimtonya Klopp about Enzo Fernadez akiwa Argentina na hakusikilizwa really paint a very bad picture no wonder nae ameona bora asepe zake.

YNWA
 
You can't be serious 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Akiondoka Salah nakufwaa🤣💔

Muondoe Matip wangu jamani😂😂😂
😂😂😂😂😂King Salah yupo yupo unless aamue mwenyewe bila Uefa hayumo Beach Town.

Matip hahaha kabaki na shingo yake ya msomali koko inavyokuvuruga haha

YNWA
 
True brother haya mambo tuliyasema sana enzi zile Watford wanatupiga na kuvuja rekodi yetu ya kua invincibles na tukatolewa na El Cholo Uefa, hizi discussion zilikuwepo kwa upana hivyo kwa sasa ni mapitio matatizo yale yale sasa yamekua worse kwa kua kwanza umri wa wachezaji wetu bora umesogea sana na pia mahasimu wetu mmoja baada ya mwingine wa narejea kwenye ubora tazama Arsenal, Manchester United kwa namna moja wamejitahidi sana ku address mapungufu yao sokoni na pia kupata walimu sahihi hivyo vita ya EPL sio tena Klopp vs Kipara mbali wengine sasa wameamka huku kuna back bencher Newcastle nae anaonyesha ela za waarabu zikitumika vyema wanataka a piece of the most sort Big 4 spot...

We have gone backwards to 2015 and losing influential figures kwenye staff is way too much to take, na kuja kusikia Edwards, etc felt they couldn't do thier job without kuingiliwa ama kusikilizwa inaonyesha where we are as a club...

Above all kusikia Ward alimtonya Klopp about Enzo Fernadez akiwa Argentina na hakusikilizwa really paint a very bad picture no wonder nae ameona bora asepe zake.

YNWA
Hivi huyu MosDef ukute ndio kocha msaidizi yule Pep nani nani sijui na hasemi😂😂😂😂
 
Antony was not a Statement signing for Utd, STATEMENT signing ya United itakuwa ni FDJ au Kane/Rice, na kama waki-pull off signing ya Victor Osimhen, pia itakuwa statement signing.

Hakuna big club ambayo ilikuwa serious na Antony, he wasnt ready for the step up, ni big fee signing, but ni project player, he needs time, FDJ/Kane/Osimhen/Rice ni transformative signings, zinakupeleka next level in a second, hawa wote ni hot commodities kwenye market now.

Jude wont be our only signing in the summer, concern ni ishu ya Nunes/Mount, we want 3 MFs minmum, sasa kama anakuja Jude (IF), we need to choose between Nunes & Mount, ujue Mount kabadilisha Agency now, na suala la mkataba mpya na Chelsea limekuwa na ukakasi, na Klopp nadhani ameshaongea na wazazi wake pia, Nunes kulikuwa na gentleman agreement na Jorge mendes, sasa kama tuki-move out kwenye deal ya Nunes, itabidi tufanye deal na mteja wake, mwingine (maybe Ugarte)

But, MF ya Jude, Nunes & Mount hai-make sense kabisa, it should be Jude + Nunes/Mount + Destroyer.

I think we will get 4 players max in the summer, 3 Mfs and 1 LCB

For the reported bugdet ya £200m, tunauwezo wa kupata 3 MFs.

Jude - £110m

Nunes/Mount - £40-50m

Maybe, Ugarte ambaye ana release clause ya £52m

Assuming kwamba upfront fee ya Mount/Nunes itakuwa ni £20m, na iliyobaki ni over the course of their contracts.

Keheller, Phillips & other academy sales itasaidia ku-fund a CB, get Goncalo Inacio, his price range is good, and his upfront fee itakuwa ni very affodable.

I really want Jude at LFC mkuu, he's everything we need at RCM, engine kama ya prime Henderson but with TALENT, he's only 19.
🙆🏿🙆🏿No way Mount hapana huyu atulie alipo... If we are going for Jude basi awe ni huyo huyo mtoto wa Malkia, for now since we need quick adaptation kwa new recruit i would rather buy from within EPL kuliko kutoka nje ya EPL kwa kua going by past buys wachezaji wengi tuliosajili from within hawakua wambaya kwetu hata Ox was superb kabla ya ile injury yake vs Roma UCL ooh boy has never been same again hivyo supposing Klopp anapewa £200m na suppose atauuza wachezaji kadhaa ikifika £230m, basi kama huyu Jude lazima atue tununue hivi
1st opinion
Jude
Nunes
Palhinha

2nd opinion
Jude
Kone
Nunes

3rd opinion
Jude
Gravenberch
Nunes

Nakomaa na Nunes kwa kua hata bei was almost agreed to below £60m.

Mount is overrated kuja kulipwa over £250k kwa wiki hapana atulie alipo.. Tunahitaji kind of new Sheriff Fabinho in town sababu Jude wi be paying higher up the pitch hivyo tunahitaji a progressive tackler with an eye for quick pass na Mount hayumo in that category...

Mara pap FSG wanapata wawekezaji wapya then tunakwenda full throttle kwa wawili ama mmoja
Khvicha 😂😂👍dream signing
Pellegrin
Barela
Diaby
Florian

YNWA
 
Mimi bado nasimama na VVD kwenye lile goli.
Hivi baada ya ile cross kupigwa,uliona akina Trent,Konate,Robbo wakifanya chochote?
Yawezekana VVD anaboronga ila kwa lile goli hapana aisee.
Wwe utakua umeungana na Chugga man kule LiveScore... VVD asingesimama ile klosi isingefika kwa Billing kwa kua sasa alisimama Dango Ouattara kuchungulia alimuona Billing akiwa kwenye nafasi bora kabisa akampa pasi mpaka hapo hao wengine walishachelewa i guess walidhani kama VVD angekomaa nae mpaka mwisho aidha atoe kona ama aokoe klosi isifike kwa Billing.

YNWA
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nani the Brain Hahaha ama...

This is his field, am always humbled getting nondo kutoka kwake in black n white bila chenga.

YNWA
Huyu kaka ukute ni kocha huko uingereza na watu hamsemi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niombee nafasi basi nikacheze LFC ya wadada.
Au hata kibarua cha kupiga deki kambini siyo mbaya.
 
Wwe utakua umeungana na Chugga man kule LiveScore... VVD asingesimama ile klosi isingefika kwa Billing kwa kua sasa alisimama Dango Ouattara kuchungulia alimuona Billing akiwa kwenye nafasi bora kabisa akampa pasi mpaka hapo hao wengine walishachelewa i guess walidhani kama VVD angekomaa nae mpaka mwisho aidha atoe kona ama aokoe klosi isifike kwa Billing.

YNWA
Yaani Bobby hapa mimi nitabaki na msimamo wangu uleule [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si mechi zote naangalia [emoji23]
Ila hii hapa nimeicheck marudio kama mara 3.
Cross imepigwa, VVD muda wote alikuwa amamfukuzia jamaa hadi wamefika karibia ukingo wa uwanja..angekimbia kwenda wapi tena?
Au ulitaka akimbie kama Yule beki ya manyua wazee wa gengeni?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Konate,Trent na Robbo walikuwa kama watalii,they are the ones to be blamed.
 

Attachments

  • 20230305_233328 (1).jpg
    20230305_233328 (1).jpg
    24.7 KB · Views: 6
Kwa sasa nakupa ushauri mapema hamia kwa dogo Gakpo haha huyo ni kama mdogo wake Matip utatulia tuli 😂😂😂

YNWA
Yule mtoto ana hatari🔥🔥
Niliona juzi anajaribu kufanya attempts kadhaa ila ni vile haikuwa bahati yetu
Dogo ana mashuti kama yote 🔥❣️
 
🙆🏿🙆🏿No way Mount hapana huyu atulie alipo... If we are going for Jude basi awe ni huyo huyo mtoto wa Malkia, for now since we need quick adaptation kwa new recruit i would rather buy from within EPL kuliko kutoka nje ya EPL kwa kua going by past buys wachezaji wengi tuliosajili from within hawakua wambaya kwetu hata Ox was superb kabla ya ile injury yake vs Roma UCL ooh boy has never been same again hivyo supposing Klopp anapewa £200m na suppose atauuza wachezaji kadhaa ikifika £230m, basi kama huyu Jude lazima atue tununue hivi
1st opinion
Jude
Nunes
Palhinha

2nd opinion
Jude
Kone
Nunes

3rd opinion
Jude
Gravenberch
Nunes

Nakomaa na Nunes kwa kua hata bei was almost agreed to below £60m.

Mount is overrated kuja kulipwa over £250k kwa wiki hapana atulie alipo.. Tunahitaji kind of new Sheriff Fabinho in town sababu Jude wi be paying higher up the pitch hivyo tunahitaji a progressive tackler with an eye for quick pass na Mount hayumo in that category...

Mara pap FSG wanapata wawekezaji wapya then tunakwenda full throttle kwa wawili ama mmoja
Khvicha 😂😂👍dream signing
Pellegrin
Barela
Diaby
Florian

YNWA
Yaani assumptions zako huwa zinanichekesha😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom