Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,458
- 32,896
Naona hutaki stress Miss Liverpool ni mapicha tuuu...Ninachoweza kumpa heshima nacho ni urefu tu
Jamaa ni mrefu Sana, I think ndio tallest player pale unyumbuni FC.
Huyo Jude aende huko akawape stress za pesa nyingi mpira sisimizi..
Akaungane na wenzie akina Anthony.
Tupate wadhamini kidogo. View attachment 2556086
Liverpool timu wachezaji pekee wanaoweza kuja kuturudisha makali ni wale wasiojengewe ubora na magazeti ya Malkia kiasi utadhani wenyewe wana hisa mle tangu Jack Grealish anunuliwe £100m ki ukweli nilitoa macho kama fundi saa yaaani Grealish huyu huyu ama mwingine hatujakaa sawa wakatua BvB Manchester United kumng'oa Sancho kwa £70m hapo ndio nikachoka kabisaaaa.... Wachezaji wengi wa Uingereza ni overrated na Liverpool chini ya FSG hawana huo uwezo hata kidogo kwamba wanunue Jude, Jaoa, Kone na beki mmoja bila Liverpool kuuza hata mchezaji mmoja hio itakua ndoto ya mchana kabisaaaa.
YNWA