Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Dogo alishajiona ni invisible 🤣🤣kumbe SL walikua na jambo lao.

YNWA
After a very tough game,bro has now decided to change his carrier from footballer to Electrian😭🤣
 

Attachments

  • IMG-20230317-WA0042.jpg
    IMG-20230317-WA0042.jpg
    54.1 KB · Views: 11
Dogo alishajiona ni invisible 🤣🤣kumbe SL walikua na jambo lao.

YNWA
Uliona lile goli walivyomfunga?

Mpira ulitoka katikati ya uwanja,bro akawa na kazi ya kufukuzana na mpira.

Ukamzidi mbio🤣🤣🤣
Ukafika golini kabla hajafika.

Bro is now speaking in tongue😭🤣💔
 

Attachments

  • IMG-20230317-WA0023.jpg
    IMG-20230317-WA0023.jpg
    55 KB · Views: 10
🤣🤣🤣🤣🤣Msimu uliopita tulikua na amani sana aisee kwa sababu Manchester United na Arsenal walikua hukooo wanapambana nani atacheza Conference League hivyo hata mtaani kulikua hakuna kelele walijikumbali hali ndio kama ilivyo.. Sasa msimu huu wamerejea kwa kishindo kwa pamoja tena mbona tunakoma aisee na vile tumepoteana ndio kabisaaaa wanatuchapa na ma utani, kejeli kama zoteee haha mpira bhana ukiwa na hasira na presha unaweza rusha ngumi..

Next match ni April tutakua ugenini Ethad kwa Kipara sasa hapo ni hawa vijana huko timu ya Taifa zao warejee wakiwa wazima wa afyaa ili tuanze kuisaka Big 4 kwa kishindo.

YNWA
Kumbe mechi ijayo tupo na bwana Pep kipara😁
Nahisi tutafungwa,
Hii siangalii..ntakua kama chalii yangu OllaChuga Oc mzee wa LiveScore
 
Jude ni mchezaji wa kawaida ambaye yupo overated sisi tumecheza dhidi ya Dortmund zote mbili ni mchezaji ambaye hana uwezo wa kudominate game, sio mbunifu wa kiwango Cha juu Cha pasi, sio mkabaji mzuri ukabaji wake ni wa kawaida nashangaa sijui kwanini thamani yake inatajwa kuwa ni paund million 100? Yule ni mchezaji wa paund million 15-20 hana vitu exceptional kwenye uchezaji wake bruno wa newcastle ni Bora by far kuliko huyo jamaa
Captain Marvelous
Kama ambavyo Sancho hakua na value ya £70m na ndio hivyo hivyo huyu Jude hana mpira wa kununuliwa kwa £130m lakini kwa vile ni wajukuu wa Malkia bei inakua predetermined affair kwa magazeti ya ubea wa michezo na mawakala wao kutengeza habari za kutakiwa na Real Madrid nk ili BvB wakomae na bei yao ili dogo apigwe mnada kwa highest bidder.

Kama ni kweli lazima amunum Muingereza pale Liverpool basi aje Declan Rise ambae ni ana afadhali kwa kua ana experience ya kucheza Premier League kwa muda mrefu.. Napata wasiwasi huyu Jude ni Sancho aliechangamka, imagine dogo Sancho pale Manjesta anakula £300k+ kwa wiki aafu ndio anacheza vile yaaani sijui ni kupagawa na ela ama Ligi ngumu hata haeleweki japo ETG amejaribu sana kumrudisha Sancho yule wa BVB lakini bado bado sasa miss Liverpool chukulia atue Jude aje aanze kusinzia huku macho yote yakiwa kwake tuone combination ya Jude, Nunes na Joao
Palhinha... Klopp kama kweli ana nia ya kusahau haya maumivu wala asihangaike sana kusaka wachezaji nje ya Uingereza kwa sababu pale pale wapo wachezaji wazuri wenye uzoefu safi wa Ligi design kama Gini, Mane, Robbo, VVD, Ox hawa walikuja na kukiwasha safi kwa kua walikua na uzoefu wa kutosha wa EPL...

Kazi ipo.

YNWA
 
Kama ambavyo Sancho hakua na value ya £70m na ndio hivyo hivyo huyu Jude hana mpira wa kununuliwa kwa £130m lakini kwa vile ni wajukuu wa Malkia bei inakua predetermined affair kwa magazeti ya ubea wa michezo na mawakala wao kutengeza habari za kutakiwa na Real Madrid nk ili BvB wakomae na bei yao ili dogo apigwe mnada kwa highest bidder.

Kama ni kweli lazima amunum Muingereza pale Liverpool basi aje Declan Rise ambae ni ana afadhali kwa kua ana experience ya kucheza Premier League kwa muda mrefu.. Napata wasiwasi huyu Jude ni Sancho aliechangamka, imagine dogo Sancho pale Manjesta anakula £300k+ kwa wiki aafu ndio anacheza vile yaaani sijui ni kupagawa na ela ama Ligi ngumu hata haeleweki japo ETG amejaribu sana kumrudisha Sancho yule wa BVB lakini bado bado sasa miss Liverpool chukulia atue Jude aje aanze kusinzia huku macho yote yakiwa kwake tuone combination ya Jude, Nunes na Joao
Palhinha... Klopp kama kweli ana nia ya kusahau haya maumivu wala asihangaike sana kusaka wachezaji nje ya Uingereza kwa sababu pale pale wapo wachezaji wazuri wenye uzoefu safi wa Ligi design kama Gini, Mane, Robbo, VVD, Ox hawa walikuja na kukiwasha safi kwa kua walikua na uzoefu wa kutosha wa EPL...

Kazi ipo.

YNWA
Sisi kama FSG tunasema hatuna hela ya mchezo namna hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akwende tu
Sisi hatupigwi kizembe [emoji13]
Wameona tupo desperate they want to take it as an advantage.,wametukosa.

Dogo mpira wake wa kawaida sana
Ile world cup wasitumie kama kigezo Cha kutupiga,
Wedi cup hata Le Captain wetu Hendo na Magwaya waliperform vizuri sana.
 
Kama ambavyo Sancho hakua na value ya £70m na ndio hivyo hivyo huyu Jude hana mpira wa kununuliwa kwa £130m lakini kwa vile ni wajukuu wa Malkia bei inakua predetermined affair kwa magazeti ya ubea wa michezo na mawakala wao kutengeza habari za kutakiwa na Real Madrid nk ili BvB wakomae na bei yao ili dogo apigwe mnada kwa highest bidder.

Kama ni kweli lazima amunum Muingereza pale Liverpool basi aje Declan Rise ambae ni ana afadhali kwa kua ana experience ya kucheza Premier League kwa muda mrefu.. Napata wasiwasi huyu Jude ni Sancho aliechangamka, imagine dogo Sancho pale Manjesta anakula £300k+ kwa wiki aafu ndio anacheza vile yaaani sijui ni kupagawa na ela ama Ligi ngumu hata haeleweki japo ETG amejaribu sana kumrudisha Sancho yule wa BVB lakini bado bado sasa miss Liverpool chukulia atue Jude aje aanze kusinzia huku macho yote yakiwa kwake tuone combination ya Jude, Nunes na Joao
Palhinha... Klopp kama kweli ana nia ya kusahau haya maumivu wala asihangaike sana kusaka wachezaji nje ya Uingereza kwa sababu pale pale wapo wachezaji wazuri wenye uzoefu safi wa Ligi design kama Gini, Mane, Robbo, VVD, Ox hawa walikuja na kukiwasha safi kwa kua walikua na uzoefu wa kutosha wa EPL...

Kazi ipo.

YNWA
Team yenu inatakiwa ifanyiwe uboreshwaji mkubwa kama hamtafanya hivyo msimu ujao utakuwa mgumu sana kwenu maana chelsea, City,man u na Arsenal watakiwasha na watafanya usajili mzuri wa kuimarisha kikosi
 
Sisi kama FSG tunasema hatuna hela ya mchezo namna hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akwende tu
Sisi hatupigwi kizembe [emoji13]
Wameona tupo desperate they want to take it as an advantage.,wametukosa.

Dogo mpira wake wa kawaida sana
Ile world cup wasitumie kama kigezo Cha kutupiga,
Wedi cup hata Le Captain wetu Hendo na Magwaya waliperform vizuri sana.
Mpe heshima yake Maguire bhana ni Kapteni Maguire 🤣🤣🤣... Muda una ishu za ajabu sana kwa kua Klopp kashanunua wachezaji wengi tu pale pale EPL na hakuna hata mmoja aliemwangusha ingekua jambo njema kwa kuimarisha timu anunue pale aanze na Nunes kutoka Wolverhampton na Mr Tackling Jaoa Palhinha kutoka Fulham hawa wawili mbona MF inakua sorted kwa miaka kadhaa na uzuri hakuna wa kuzidi bei ya £50m...beki atue pale Southampton Mohammed Salisu na ule ukuta utakua jiwe sio ulivyo karatasi sasa hivi.

Huyu Jude atue tu Manchester United wao wana uwezo huo kununua ma bench warmers kwa bei ghali kwa mfano Maguire, Sancho, Martial. Sisi hio pleasure haipo kwa kua FSG bado wamo wamo.

YNWA
 
Mpe heshima yake Maguire bhana ni Kapteni Maguire [emoji1787][emoji1787][emoji1787]... Muda una ishu za ajabu sana kwa kua Klopp kashanunua wachezaji wengi tu pale pale EPL na hakuna hata mmoja aliemwangusha ingekua jambo njema kwa kuimarisha timu anunue pale aanze na Nunes kutoka Wolverhampton na Mr Tackling Jaoa Palhinha kutoka Fulham hawa wawili mbona MF inakua sorted kwa miaka kadhaa na uzuri hakuna wa kuzidi bei ya £50m...beki atue pale Southampton Mohammed Salisu na ule ukuta utakua jiwe sio ulivyo karatasi sasa hivi.

Huyu Jude atue tu Manchester United wao wana uwezo huo kununua ma bench warmers kwa bei ghali kwa mfano Maguire, Sancho, Martial. Sisi hio pleasure haipo kwa kua FSG bado wamo wamo.

YNWA
Ninachoweza kumpa heshima nacho ni urefu tu
Jamaa ni mrefu Sana, I think ndio tallest player pale unyumbuni FC.


Huyo Jude aende huko akawape stress za pesa nyingi mpira sisimizi..
Akaungane na wenzie akina Anthony.



Tupate wadhamini kidogo.
IMG_20230317_133330.jpg
 
Mpe heshima yake Maguire bhana ni Kapteni Maguire [emoji1787][emoji1787][emoji1787]... Muda una ishu za ajabu sana kwa kua Klopp kashanunua wachezaji wengi tu pale pale EPL na hakuna hata mmoja aliemwangusha ingekua jambo njema kwa kuimarisha timu anunue pale aanze na Nunes kutoka Wolverhampton na Mr Tackling Jaoa Palhinha kutoka Fulham hawa wawili mbona MF inakua sorted kwa miaka kadhaa na uzuri hakuna wa kuzidi bei ya £50m...beki atue pale Southampton Mohammed Salisu na ule ukuta utakua jiwe sio ulivyo karatasi sasa hivi.

Huyu Jude atue tu Manchester United wao wana uwezo huo kununua ma bench warmers kwa bei ghali kwa mfano Maguire, Sancho, Martial. Sisi hio pleasure haipo kwa kua FSG bado wamo wamo.

YNWA
Leicester city walimfanyia vibaya Man u kwa le captain Maguire [emoji1787][emoji1787]
 
Leicester city walimfanyia vibaya Man u kwa le captain Maguire [emoji1787][emoji1787]
Unakumbuka wakati anasajiliwa walikua wanajilesi eti ni bora kuliko VVD 🤣🤣🤣🤣 nae akapata bichwa kwamba ni bora zaidi ya VVD basi akaanza kulewa sifa na kusahau kujituma kazini mwshowe yule pale sasa ni chaguo sijui la nne au ngap...Kapteni Maguire kwa kufosi mkataba mpya anapita mle mle alikooita Le CP Henderson kwamba PSG wanamtaka dirisha lijalo wamsajili🤣🤣🤣yaaani like serious kwamba nguli Luis Campos ndio amhitaji dogo Maguire pale lol labda kibiashara lakini kimpira ndio wanazidi kujiweka mbali kuchukua Uefa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom