As LFC fans, kuna trend nimeiona, especially, kwenye big forums zingine, people are undermining sana signing ya Jude (Well, kama akija LFC, maana kwenye football chochote kinaweza kutokea)
Kuna tofauti kubwa sana, kati ya ku-build a team na ku-rebuild a team, vitu viwili hivi vyote siyo vyepesi, but kwa mtazamano wa hapa, kutengeneza team ni rahisi sana kuliko KUTENGENEZA UPYA team, i mean kwenye kutengeneza upya team unakuwa na mtihani wa ku-replace players waliokuletea mafanikio, unakuwa na mtihani wa kurudisha motisha/muamko wa ushindi kwenye dressing room, unakuwa na mtihani wa kurudisha trust/support ya mashabiki tena, tofauti sana na unapotengeneza team, as ile hali na muamko unakuwepo kwa pande zote, players + fans, so inakuwa rahisi sana kupata trust na support kutoka kwa fans na players pia.
Kwenye football, mambo yakiwa yanaenda kombo, siyo mashabiki tu wanaopoteza trust/support na muamko wa kushinda, bali hata players, especially wale wanaojiaona ni wakubwa kwenye team.
Mfano, at LFC, Klopp now amepoteza trust/support kwa baadhi ya fans (its normal), na pia baadhi ya wachezaji wake wapo de-motivated, unaona kabisa kuna baadhi ya players hawana muamko wa ushindi, its like wamekata tamaa na huu msimu, they just want msimu huu uishe, wakati Klopp bado ana matumaini ya top 4 kuna baadhi ya big players washaanza kuwaza kuhusu msimu ujao, they dont care, mfano mdogo tu, kwenye game ya Bournemouth, goal lao lisingefungwa kama VVD angeendelea kutembea na mchezaji aliyetoa pass ya goal kwa Billing, but baada ya kupitwa, VVD decided to stop, wakati angeenda nae, angefanikiwa kupata corner au ku-recover the ball, but he decided to stop bila sababu yeyote, but kama tungekuwa kwenye title race asingesimama kabisa, inaonesha tu hakuna hunger ya ushindi, no matter Klopp atachofanya kama his big player hawapo tayari ku-fight for him au kuwa na belief kama ya kwake, hakuna cha maana kitatokea.
So, re-building a team is so different, kwasababu as a coach, sometimes unakuwa hautaki kupoteza your world class talents, na suala hili huwa linakuja na huge responsibility, maana utahitaji ku-prove kwao kuwa tutaendelea kuwa top, na kuendelea kuwa top ni ku-sign good players.
You see, kwenye modern football, players ndiyo wamekuwa na power now, na hata hivyo, kwenye re-build huwezi kuondoa/kuuza wachezaji wote, ni kwamba unatoa wale ambao wameisha/hawa-perform tena katika ubora wao, na kuweka engines mpya around wale ambao bado unaona wanafaa kuwepo kwenye team, na hapa ndiyo linapokuja suala la. signings kama za Jude, etc.
Unafanya re-build, the whole. football. world. inajua kuwa unatanya re-build, so they are watching, i mean rivals are watching, your own fans are watching, your own players are watching etc, you need to make a statement, statement ambayo ita-lift your world class players and the dressing room, statement ambayo itarudisha imani na belief za fans, statement ambayo itafanya rivals waone upo serious (rivals wenyewe ndiyo hawa City, Utd, Arsenal, Chelsea etc), hapa ndiyo unahitaji BIG SIGNING ya ku-start your re-build, you need a BIG SIGNING ya ku-kick start a new ERA.
Juzi, niliweka, aina ya MFs watakaofaa at Anfield (my opinion), ukiachana na Jude/Caicedo, niliweka pia Manu Kone na Manuel Ugarte, these are 2 good MFs, but huwezi kumshtua Pep au ETH na hizi siginings, they are NOT statement siginings.
Yes, we need profile ya Manu au Ugarte at LFC, but hizi sigings zikija na Jude, itakuwa ni STATEMENT tosha, fear-factor in the football world itakuwepo, believe me.
LFC, ilianza kuwa untouchable baada ya VVD kuja LFC, achana na Mane, Salah etc, hii ndiyo signing ambayo ilitupeleka next level, interms of AURA and FEAR FACTOR, na kwa teams zetu kama hizi ambazo kununua wachezaji wakubwa na kwa big fees ni majaliwa, we need these BIG SIGNINGS, kwaajili ya STATEMENT.
Jude is one of the most thought after. youngster in the game, Man City wants him, Madrid are there kama chance ikitokea, United are there kama chance ikitokea, signing him kama facilitator wa re-build, itakuwq ni huge statement, and trust me, he wont fail at LFC, barring injuries.
Todd Boehly, was once a laughing stock kwenye football world, but now kila Club in europe inajitahidi sana kukwepa bidding war na Chelsea, baada ya kufanikiwa kumtoa Enzo Fernandez at Benfica, LFC were there, United were there, Bayern were there, Madrid were there, but Boehly got him, that was the STATEMENT, sema tu kina Klopp, Guardiola etc wali-relax kidogo, baada ya Potter ku-settle for Graham Potter, ingekuwa ni habari mbaya kama Boehly angebaki na Tuchel, but i think Tuchel's drug abuse got the best of him (he's recovering).
We need Jude, we need Manu, we need Ugarte, we need Caicedo etc, but we need a STATEMENT signing.
Jude, will be a transformative signing.