Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mimi natizama katika usajili ndio itatupa dalili wapi tunaenda sehemu za kuongeza nguvu ziko wazi kabisa kati kati ni lazima na beki mmoja na matumaini yangu system ya 4.3.3 tuacheni nayo hatuna tena wachezaji wakucheza huo mfumo ni matumaini Klop ni Manager mkubwa ni lazima plan ziko ni issue ya kupewa back up kifedha na wamiliki, huu msimu dalili mbaya zilianza na toka pre-season ni kama Arsenal nyota njema ilianza pre-season tukadhani si mechi za kujiandaa tu kumbe ndio imetoka, kuanzia sasa pre-season nitaangalia sana maana pale tunajuwa mwelekeo. huu msimu tumeshusha mapanga chini tu tumie nguvu zote kushinda mechi za EPL tuzifanye kama finals tumalize top 4 basi nsio target.
 
Lakumtoa Nunez sikuelewa labda kama alikuwa ameumia sababu ni mtu peke anajaribu hata akifanya makosa atafanya tena ila Klop aachane na 433 ajenge team mzimu ujao Nunez akiwa main striker sio MO tena kwa sababu namuona mwakani akiwa juu team ijengwe katika mfumo wa 4231 au 451 nadhani ni wakati wa kubadilika Nunez awe main striker.
 
Mimi natizama katika usajili ndio itatupa dalili wapi tunaenda sehemu za kuongeza nguvu ziko wazi kabisa kati kati ni lazima na beki mmoja na matumaini yangu system ya 4.3.3 tuacheni nayo hatuna tena wachezaji wakucheza huo mfumo ni matumaini Klop ni Manager mkubwa ni lazima plan ziko ni issue ya kupewa back up kifedha na wamiliki, huu msimu dalili mbaya zilianza na toka pre-season ni kama Arsenal nyota njema ilianza pre-season tukadhani si mechi za kujiandaa tu kumbe ndio imetoka, kuanzia sasa pre-season nitaangalia sana maana pale tunajuwa mwelekeo. huu msimu tumeshusha mapanga chini tu tumie nguvu zote kushinda mechi za EPL tuzifanye kama finals tumalize top 4 basi nsio target.
Klopp hana mbinu zozote tena za kuirudisha liverpool juu
 
Wachezaji wana roho ngumu
Mimi nipo nanjilinji ndani ndani huku nipo nalia
Wao wametoka wakavuu
Wale ni waajiriwa mwisho wa siku pay day ipo pale pale, wewe ni shabiki mafanikio ya kuchukua kombe ndio kilele cha furaha kwako.

Pale wenye maumivu ya kweli ni Trent na Jones hawa wengine is another bad day kazini.

YNWA
 
Mara mia angemtoa Salah
Nunez tangu mwanzo ameonyesha kupambana
,, Anakwenda kulipachika li Ox..
Mechi ngumu unaanzisha Milner 😭
Asingewaweka hawa,hata kama tungefungwa, lakini tungekuwa tumepambana kiume😭
Hivi Miss Liverpool huna nguo fulani au kiatu fulani ambacho ukitupia bahati hua inakufuata fuata haha sasa ndio Milner na Klopp 🤣🤣Klopp aliamini fika his lucky guy kutuvusha ni babu Milner na si vinginevyo...

YNWA
 
Liverpool fans should book their tickets in Istanbul early, cos we're going to the finals again.

IMG-20230316-WA0001.jpg
 
Hao Man City na Chelsea hakikisheni mnawapiga haswa
Hahaha wasiwasi wangu ni zile timu za hukooo nafasi ya kumi kushuka chini hao kwa kua kila gemu ni fainali na kushuka Championship kugumu sana hapakaliki kabisa. Hizi timu za nafasi za juu kama kawaida vijana wanakamia mechi balaa.

YNWA
 
Perhaps he meant on Game Mode 🤣🤣🤣bure kabisa.

Proper overhaul is needed from players to formation.. Can't be business as usual.

YNWA
Can' t wait to see self-proclaimed UCL finalists struggling in Europa league or even the Conference league next season.

Ngoja the cityzens tuanze kuandaa suti za kuendea Istanbul mapemaa.
 
Zile goli 7 mpka leo kila nikifiria ilikuajekuaje hua nakosa jibu, hakika uchawi upo ni vile tu hauwezi kuvuka maji.
Siku ile hawa wahuni waliroga midfielders na beki zote, Casemiro anasema kila alipokua anagusa mpira mbele yake alikua anaona bahari na mitumbwi ya uvuvi.
Kwenye suala la Ushirikina katika soka kuna kamstari kembamba sana kanachoitenganisha liverpuuuh na Simba.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huo ushirikina usifanywe kwa Bournemouth na Madrid tuje tuufanye kwenu? Sema tu mlizidiwa [emoji1787][emoji1787]
 
Wale ni waajiriwa mwisho wa siku pay day ipo pale pale, wewe ni shabiki mafanikio ya kuchukua kombe ndio kilele cha furaha kwako.

Pale wenye maumivu ya kweli ni Trent na Jones hawa wengine is another bad day kazini.

YNWA
Kwa kweli
Trent aliumia sana maskini,nilikaona kanavyotia huruma hadi nikajisikia uchungu machozi yananitoka.
Amepambana sana kijana ila ndio hivyo tena.


Halafu sikuelewa elewa dakika ziliisha vipi kule mwisho [emoji24]
 
Hivi Miss Liverpool huna nguo fulani au kiatu fulani ambacho ukitupia bahati hua inakufuata fuata haha sasa ndio Milner na Klopp [emoji1787][emoji1787]Klopp aliamini fika his lucky guy kutuvusha ni babu Milner na si vinginevyo...

YNWA
Yaani acha tu
Mtu amekomaa na Milner mwanzo mwisho[emoji706]
Nilivyoona tu ule mkeka Milner yupo nikaanza kupata wasiwasi
Mara mia Hendo, Kuna muda bahati huwa upande wake.

Kwa muda wote sijamuona Milner akifanya chochote,zaidi ya kupiga yale makofi mwisho wa mechi na kujinyoosha nyosha kama bondia kabla ya mechi.

Wengine wote siwalaumu ,hasa madogo pale mbele, wamejitahidi sana
Ila dakika ya 6 pale Lilikuwa goli kabisa[emoji24]mdogo wako hakutulia tu kupiga vzr[emoji24]
 
HO
Hahaha wasiwasi wangu ni zile timu za hukooo nafasi ya kumi kushuka chini hao kwa kua kila gemu ni fainali na kushuka Championship kugumu sana hapakaliki kabisa. Hizi timu za nafasi za juu kama kawaida vijana wanakamia mechi balaa.

YNWA
Hao wakushuka pia nawatakia Kila la heri muwapige pia. Muingie top 4 nyie watoke UTD na Spurs.
 
Can' t wait to see self-proclaimed UCL finalists struggling in Europa league or even the Conference league next season.

Ngoja the cityzens tuanze kuandaa suti za kuendea Istanbul mapemaa.
Fainali dream game Real Madrid vs Manchester City... Aafu Vincius kama kawaida atawakimbiza mbaya mabeki wako.. Kwanza Kipara hua anafeli kwenye selection ya mechi muhimu.. Kama juzi katoa kali ya mwaka beki kapanga LB na RB wamecheza ma CB na baada ya ushindi akatupa dongo kwamba akishinda hakuna maneno ila wakifungwo hua kelele kama zote kwamba anajilesi balaa.

Kwa msimu huu ndugu sina neno popote nikimaliza nitapokea kwa mikono miwili aidha top 4 ndio target ikishidikana basi Europa ama Conference ni sawa tu hakuna namna ndio uwezo wetu.

Jipange ndugu Napoli hawatanii.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom