Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Yale masaa yamekaribia kuisha sasa nilikuwa nasema hapa kitu inayofanya Liverpool iendelee kubaki Uefa ni masaa tu nayo yamekaribia tayari.

Naona mmetupangia Babu milner sawa sawa.
1678905437592.jpg
 
Screenshot_20230315_220421.jpg


Duu allypipi huyu ndugu kweli noisy neighbour ebu waini pale Napoli mazima kwa Victor Osimen naamini mtakua na jambo lenu kuwazima kelele.

YNWA
 
Yaani ndugu yangu acha tu
Nazidi kupata magonjwa ya moyo Mimi
Mechi ngumu kama Madrid ni ya kumuanzisha Milner kweli?
Dah.

Hebu ngoja tuone.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Usiumwe bhana ni maisha ya mpito aisee... Ila Klopp ana kifua yaani hapa mpaka Milner atafutiwe mkataba mpya kwa nguvu yotote ile.

Au Miss Liverpool huyu Milner atakua msoma nyota wa Klopp aisee ndio maana anakoma nae mazima.. Ngoja siku ale nyekudu kwa kucheza karate ndio Klopp atauchuna kama vile hakumpanga yeye.

YNWA
 
Usiumwe bhana ni maisha ya mpito aisee... Ila Klopp ana kifua yaani hapa mpaka Milner atafutiwe mkataba mpya kwa nguvu yotote ile.

Au Miss Liverpool huyu Milner atakua msoma nyota wa Klopp aisee ndio maana anakoma nae mazima.. Ngoja siku ale nyekudu kwa kucheza karate ndio Klopp atauchuna kama vile hakumpanga yeye.

YNWA
Yaani huyu Milner mganga wake ni kiboko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom