OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Kwani kuna mutu ayiogopi Chelsea?!
Ongereni mkuuWewe tukikutukana tutakua tunakukosea
Umefungwa na liva mbovu kubali ukweli ukojoe ukalale
Sisi hatujashingilia kumbe wewe ni maandazi hiviOngereni mkuuView attachment 2542003
Eti ni penati ya mchongo haha by most sort UK MF maestro.Kwani kuna mutu ayiogopi Chelsea?!
Hata Ndanda FC ya kule Mtwara haiioopi ChelshitKwani kuna mutu ayiogopi Chelsea?!

😁😁😁ndoto za abunaswiTutamkomesha
Klopp mhuni mmoja tu😂View attachment 2542579
🤣 🤣 Baba Swalehe wai wakurudishie ela yako aafu kata tiketi mpya Klopp alishasema.
YNWA
tatizo walicheza era tofauti aisee,
Yeah ukiweka ubora wa vikosi vya tangu Torres, Surez na sasa Salah kuja tofauti kubwa sana... Torres alicheza na prime Gerrard akiwa kwenye form.. Surez the viper huyu timu haikua na utulivu kabisa lakini alipambana vya kutosha single handily...tatizo walicheza era tofauti aisee,
mine will be Suarez, Salah, Torres,
era ya suarez tulikua na timu mbovu ajabu, mbovu kweli kweli....
era ya Torres tulikua na 1st 11 superb , nje ya hapo yalikua magarasa.... pia klabu haikua na utulivu kabisa kwenye mgt,
era ya Salah timu ipo vizuri kila idara, hata yeye amekua na mwendelezo mzuri wa kiwango!
Mara pap Klopp akapindua matokeo Bernabeu hahaha mpaka hapo Klopp atakua immortal... Legend wa legend.Klopp mhuni mmoja tu😂
Suarez.