Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

20230305_232525.jpg
 
Suarez.
Salah
Torres

Suarez namrate zaidi kutokana na workrate yake uwanjani. Tukiachilia mbali masuala yake ya kinidhamu jamaa alikuwa complete footballer.

Ana kuoffer kila kitu, ana press balaa, dribbling zisizoeleweka ila anachana msitu hivyo hivyo, magoli ya kushangaza.

Suarez ni mchezaji mfia timu. At his best angefanya lolote team yake ishinde.

Salah is magical. Sihitaji kumuelezea.

Torres will forever be JUDAS to me. 🚮
🤓🤓🤓🤓Kila mchezaji mkuu ana bei yake na Chelsea walifika bei kwa Torres tukawa hakuna namna zaidi ya kuuza na maisha yasonge.. Usisahau hata huyo Surez alijaribu kufosi move ya Arsenal baada ya Wenger kutoa ofa ya 40m+1cents 😁😁 ikabidi Henry aulize huko Emirate wanavuta ya wapi.
Niseme tu kwa mtazamo wa kila mmoja atakavyo wa rate yuko sahihi kwa kua hawa ma strika waliitedea haki baji ya Liverpool...
Torres enzi hizo alikia msumbufu ajambo yaaani na mabeki wengi wastaafu walimchagua kua tishio.

YNWA
 
🤓🤓🤓🤓Kila mchezaji mkuu ana bei yake na Chelsea walifika bei kwa Torres tukawa hakuna namna zaidi ya kuuza na maisha yasonge.. Usisahau hata huyo Surez alijaribu kufosi move ya Arsenal baada ya Wenger kutoa ofa ya 40m+1cents 😁😁 ikabidi Henry aulize huko Emirate wanavuta ya wapi.
Niseme tu kwa mtazamo wa kila mmoja atakavyo wa rate yuko sahihi kwa kua hawa ma strika waliitedea haki baji ya Liverpool...
Torres enzi hizo alikia msumbufu ajambo yaaani na mabeki wengi wastaafu walimchagua kua tishio.

YNWA
Ni kweli mkuu ila jamaa dah alituacha tukiwa wabovu sana bora hata Suarez aliacha kuna uafadhali.

Yeah El Nino alikuwa mzuri ila nilikuwa nampenda zaidi kwenye game vs Man United alivyokuwa anampindua Vidic. Ilikuwa karibu kila match Vidic anakula umeme.

Goli langu bora kwa Torres kuna msimu mmoja nahisi 2009/10 au wa 2008/09 vs Blackburn Rovers alipokea pass akiwa amelipa goli mgogo akaushusha kwenye freezer aka turn akaachia volley ya maana.

 
Yeah ukiweka ubora wa vikosi vya tangu Torres, Surez na sasa Salah kuja tofauti kubwa sana... Torres alicheza na prime Gerrard akiwa kwenye form.. Surez the viper huyu timu haikua na utulivu kabisa lakini alipambana vya kutosha single handily...
Salah amecheza chini ya Kocha bora na pia akiwa na prime Mane na Firmino pembeni yake na kumsaidia kuleta numbers za kutosha.

YNWA
Salah ana EPL ngapi?
 
Ile penati pale liva kuna mutu anaeza piga?! Ule ufundi siyo wa kitoto mkuu.
UEFA watupe kombe letu tu
Kweli Chugha man umeishiwa yaaani mpaka unafurahia ushindi wa penati hahaha.
Haya sogea sogea kwenye EPL msimamo angalau upate kushiriki Conference League.

YNWA
 
Ni kweli mkuu ila jamaa dah alituacha tukiwa wabovu sana bora hata Suarez aliacha kuna uafadhali.

Yeah El Nino alikuwa mzuri ila nilikuwa nampenda zaidi kwenye game vs Man United alivyokuwa anampindua Vidic. Ilikuwa karibu kila match Vidic anakula umeme.

Goli langu bora kwa Torres kuna msimu mmoja nahisi 2009/10 au wa 2008/09 vs Blackburn Rovers alipokea pass akiwa amelipa goli mgogo akaushusha kwenye freezer aka turn akaachia volley ya maana.


Nando hakua mtu mzuri sana kunako kufumania nyavu... Vidic, Evra, Terry nk wote hao watakwambia yule mwamba alikua kama kaa la moto.

Alipata ushauri mbaya kuodoka vile kiasi mpaka leo anaonkena judas kiasi fulani lakini kipindi alivaa uzi wetu alitukonga nyoyo zetu haswa... Upande mwingine nae alichangie hii timu kuangukia mikononi mwa FSG kwa kua pesa ya kumnunua kutoka AT ilikopwa nadhani benki Uswisi na haikulipika kwa wakati mpaka kupelekea moto kwa wale ma Yankees akina Gillet..

Kingine El Nino huyu huyu kwa kucheza soka safi mwaka 2008 walijitokeza Waarbu kutaka kununua Liverpool lakini Gillet wakapata tamaa na kudai nadhani £2 billions wale waarabu kutoka a Abu Dhabi wakala kona mazima.

Hilo goli murwa sanaaaa.

YNWA
 
Alivyokuwa anashake hands na Klopp
Nikadhani ako siriazi..
Kumbe hakuna kitu🤣

Wazee wa gengeni pressing bana😂
Akiyanani ,nicheke mie🤣🤣
 

Attachments

  • IMG_20230310_125559_954.jpg
    IMG_20230310_125559_954.jpg
    429.1 KB · Views: 9
  • IMG_20230310_125605_962.jpg
    IMG_20230310_125605_962.jpg
    587.5 KB · Views: 6
  • IMG_20230310_125604_345.jpg
    IMG_20230310_125604_345.jpg
    563.9 KB · Views: 7

Similar Discussions

Back
Top Bottom