Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Ndio kwanza wamecheza gemu yao ya kwanza vs Manjesta na wametoka na kila mmoja na double goals.. Haya sasa tuonane msimu ujao.
YNWA
Nacho omba mm tumpe point Arsenal ila tumkazie kipara.Huo moto wa jana inabidi mumpelekee na arsenyau akikatiza pua lake pale anfield, piga fyekelea mbali.
But wait captain, pale etihad una point zangu 3 nakudai si unalijua hilo?
YapConfirmed ???
hahaha yani kuwapiga wale wavimba macho kusikufanye uone kama una timu ya kumfunga Chelsea. Yani ukija pale darajani juwa kabisa umekuja kufa kimya kimya 😀😀😀View attachment 2538947
Captain Chaos anasema nani anabishaaa....
OllaChuga Oc you are next brother.
YNWA
HahahaahNacho omba mm tumpe point Arsenal ila tumkazie kipara.
benzema: I don't know what is going in Manchester United this week but i think what has happened is disrespectful to Manchester United hence Liverpool will pay for it next gameNyie kenge mnatukamia sisi tu hafu Madrid anawatoa maini kirahisi nguvu mliyoitumia kwetu mkaitumie na kwa Madrid Sasa sio mnatukazia sisi hafu hafu nyie mechi za maana mnachapika tu.
Sisi ni wabovu hatujawahi pinga hilo soma nyuzi zote Humu tunaiponda team yetu SanaNyie kenge mnatukamia sisi tu hafu Madrid anawatoa maini kirahisi nguvu mliyoitumia kwetu mkaitumie na kwa Madrid Sasa sio mnatukazia sisi hafu hafu nyie mechi za maana mnachapika tu.

🤓 🤓 🤓 🤓 🤓 Yaaani wewe nakuwekea MF Milner na Kieta na watakusabaratisja mazima.hahaha yani kuwapiga wale wavimba macho kusikufanye uone kama una timu ya kumfunga Chelsea. Yani ukija pale darajani juwa kabisa umekuja kufa kimya kimya 😀😀😀