Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liva huwa hawapendi dharau kabisa aisee

Liva hata iwe mbovu vipi ukileta dharau wanakuua

Pale anifilidi Pana majini pale kaka hayapendi dharau kabisa

Ukitaka uamini hili Madrid huwa wanatufunga sababu hawana dharau kabisa
Hahaha na kweli kuna majini Anfield maana jana nilijiuliza hivi hawa ndio wale wale wachezaji waliohenyeshwa na Newcastle akiwa mtu pungufu mpaka muda wote wakawa wanachungulia dakika kama zimeisha yaaani ndani ya wiki+ hivi mambo yamebadilika sanaaa aisee.

Hatutaki dharau sie next time waje kwa heshima angalau wanaweza kupigwa 2 ama 3 lakini sio 7 juu.

YNWA
 
Nyie nao msijisahau sana, kuanzia wiki ijayo mnarudi kwenye hali yenu ya kutembelea mkongojo.
Hatutaki kuishi kuhofia yajayo tunakula good time kwa sasa hayo yajayo yatajulikana maana hata jana ungeniambia nashinda 7 juu ningekwmabia uamke upo ndotoni.

Hii ni EPL mzee baba muda wowote upepo unageukaga hivyo mtuache tule good times, tumeteswa sana, matusi sana, utani kwa sana, nk lakini jana tumetoka kifua mbele kwa kipigo halali kitakatifu bila zengwe.

Scoring 7 past Manchester United is sweet man yaaani utamu kama utamu...

Bado wewe jitahidi yasikukute🤣🤣🤣

To all Liverpool fans cheers 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 🥂 mmevumilia mengi msimu huu

YNWA
 
Hatutaki kuishi kuhofia yajayo tunakula good time kwa sasa hayo yajayo yatajulikana maana hata jana ungeniambia nashinda 7 juu ningekwmabia uamke upo ndotoni.

Hii ni EPL mzee baba muda wowote upepo unageukaga hivyo mtuache tule good times, tumeteswa sana, matusi sana, utani kwa sana, nk lakini jana tumetoka kifua mbele kwa kipigo halali kitakatifu bila zengwe.

Scoring 7 past Manchester United is sweet man yaaani utamu kama utamu...

Bado wewe jitahidi yasikukute
Huo moto wa jana inabidi mumpelekee na arsenyau akikatiza pua lake pale anfield, piga fyekelea mbali.

But wait captain, pale etihad una point zangu 3 nakudai si unalijua hilo?
 
Hatutaki kuishi kuhofia yajayo tunakula good time kwa sasa hayo yajayo yatajulikana maana hata jana ungeniambia nashinda 7 juu ningekwmabia uamke upo ndotoni.

Hii ni EPL mzee baba muda wowote upepo unageukaga hivyo mtuache tule good times, tumeteswa sana, matusi sana, utani kwa sana, nk lakini jana tumetoka kifua mbele kwa kipigo halali kitakatifu bila zengwe.

Scoring 7 past Manchester United is sweet man yaaani utamu kama utamu...

Bado wewe jitahidi yasikukute

To all Liverpool fans cheers mmevumilia mengi msimu huu

YNWA

Cheers
 
Huo moto wa jana inabidi mumpelekee na arsenyau akikatiza pua lake pale anfield, piga fyekelea mbali.

But wait captain, pale etihad una point zangu 3 nakudai si unalijua hilo?
Hivi kumbe Arsenal anakuja machijioni maana pale mahala sio salama sana kwa timu pinzani... Katika mechi 90 EPL tumepoteza mechi moja tu hivyo inabidi kujipanga sana kupata matokeo pale.

Huyu Arsenal natamani sana achukue EPL msimu huu maana huyo Kipara wako ataifanya EPL kua farmers league bhana ebu na iwe hivyo ndugu...

Hapo Ethad naja kupambana at my best aisee aafu nione itakua aje baada ya dakika 90+.

YNWA
 
Screenshot_20230306_161751.jpg

Pathetic Captain...

Kwani lazima washinde wao tu...

YNWA
 
Screenshot_20230306_161236.jpg


Huyu jamaa atakua dalali yaaani dogo Gakpo alikumbali kabisa June 2022 kutua Manchester United badae wakaingia mitini na kuibukia kwa Anthony... Sasa unajiuliza hata kwa macho ya kawaida bila data proof unaona kabisa Anthony hana value ya £85m+ na ni overrated player... Ndio maana jana Gakpo alikua na jambo lake pale kuwaonyesha nini walikosa...

Cody the one

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom