Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Hivi lini tutajuta?Kisa jana mumemjaza mutu bao saba
Sisi tatizo ni kocha tu ila tukituliya mutajuta kutujuwa.
Mbona siku siku mnasema hivi?



Hivi lini tutajuta?Kisa jana mumemjaza mutu bao saba
Sisi tatizo ni kocha tu ila tukituliya mutajuta kutujuwa.



Hicho kikombe cha chai alichopata, ndio basi tena


Timu ingetolewa tu uwanjani mapema 1st half, tisingefika huku ndugu zangu 😂Kosa kubwa alilolifanya Ten Hag ni kutosikilia ushauri wangu, siku moja kabla ya mechi nilimpigia simu na kumshauri game Vs Liverpool asithubutu kuwachezesha Rafael Varane na Casemiro maana Liverpool wakiwaona uwanjani ni kama vile umekua umewatonesha kile kidonda cha kufungwa na Madrid, vyovyote itavyokua wataforce kupiga comeback ili wasonge mbele kwenye Uefa.
Jamani Liverpool sisi hata siku moja hatujawahi kuwa na ugomvi na nyie, haya maugomvi yenu na Madrid tunaomba muwe mnamalizana wenyewe kwa wenyewe, kutuingiza sisi kwenye maugomvi yenu ni kama vile mnatuonea bure tu.
Sijapenda kwa kweli jinsi mlivyotufanyia.
Zamani mkuu,saa ivi timu nzuri inashinda.liverpool baada ya mane kuondoka jota na Diaz wakapata injury.kwa iyo kukawa hakuna back ya mane.lkn Sasa ivi chemistry ya Salah,Nunez na gakpo inaanza kukolea.kiungo Kiko imara sana hendo,faby + Elliot au bajcetic YNWAKile Kipara atakikuna sana leo na maswali mengi bila majibu.
Uzuri wa EPL haina matokeo ya kujipa kichwa utaona Manchester City anatoa sare Nottingham Forest na Liverpool anachapwa na Leeds nyumbani yaaani EPL ni habari nyingine kabisaa.
YNWA



Malizia na kapewa kibunda Cha €250m asajiliAhahah hakuna ukweli wowote.
Klopp kaja Liverpool league ipo katikati baada ya kumfukuza BR,kwa hiyo hao wachezaji hakua nao ktk pre season wala hakuwaandaa!
Haag kawaandaa hawa wqchezaji toka pre season na wengine kawaleta yy.
Naunga mkono hoja kwa namna yotote ile lazima tuipate big 4.
YNWA
Nlkwambia you had to dream about bernabeu and you have to believe tunaweza tusishindeAmewapa nini wanakikosa pale Theatre Of Dreams....
Aliewashauri wamnunue Antony na kuacha dili la Gakpo June 2022 ilikua kosa kubwa sana.
YNWA
Kabisa Mkuu sie letu moja Big four na hatutanii.Kilichobaki tukawachomoe Newcastle na Spurs pale juu wasilete jam ili tutulie kwa Amani kabisa

Tuma akaunti tutume pesaAsante Mkuu. Zile GIF bei ya bando ilikatisha uhondo
Malizia na kapewa kibunda Cha €250m asajili
Hatujakataa, tatizo marehemu alikua ashaanza kuwa na mdomo mrefu.😅