Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20230306_145930.jpg


Pigaaaaaaaaaaa sana tu..
Liverpool baba lao
Salah baba lao
Cody baba lao
Nunez baba lao
Firmino baba lao
Klopp kiboko yaooooo.

YNWA
 
Kabisa Mkuu sie letu moja Big four na hatutanii.

Spurs na Newcastle moto kama gari ya dizeli wakati wa baridi.

Msimu huu ushindi wetu ni kumchapa Manchester United rekodi ya magoli 7 hii sio haba na ni tamu ajabu.

YNWA

Nafasi ya 4 tayari tunayo sasahivi kilichobakia tunafanya Mazoezi tu kwa ajili ya Msimu ujao na kiwaanga hawa Magarasa waliopo.
 
Huyu jamaa akitengezewa Timu yenye Midfielders wa kutengeneza pasi za Mwisho basi anaweza kufunga Magoli mpaka mengie tugawagawia na Chelsea angalau wamalize nafasi ya 8 na sio ya 12.
Chelsea magoli yamekata utadhani maji ya mgao yaaani tupia Auba, 007,Felix,Sterling nk matokeo ni yale yale...

Captain Chaos ana hatari sana imemchukua muda kiasi kueleweka lakini anakaribia kua anakotaka Klopp especially kwenye converting chance anazopata kua magoli maana hilo ndio pekee linalokosekana.

YNWA
 
Nafasi ya 4 tayari tunayo sasahivi kilichobakia tunafanya Mazoezi tu kwa ajili ya Msimu ujao na kiwaanga hawa Magarasa waliopo.
Mpaka sasa hatunao Ox, Keita, Milner, Firmino, Adrian hao angalau asilimia kubwa sana wanasepa ili kupisha wengine wanunuliwe waje kuanzisha tena mapambano.

Top 4 sasa uhakika taa ishawaka hakuna kurudi nyuma..

YNWA
 
Salah + Nunez + Gakpo + Diaz + Jota

👆 Hii nayo ni Changamoto nyengine wawili lazima wawe Supersub hivyo ni juu yao kupambana ili wazuie namba
Aisee ni changamoto yenye afya kwa maslahi mapana ya Liverpool na kwa kua watapata dakika za kutosha na mechi pia ni nyingi na ndio maana Uefa msimu ujao lazima tucheze..

YNWA
 
Chelsea magoli yamekata utadhani maji ya mgao yaaani tupia Auba, 007,Felix,Sterling nk matokeo ni yale yale...

Captain Chaos ana hatari sana imemchukua muda kiasi kueleweka lakini anakaribia kua anakotaka Klopp especially kwenye converting chance anazopata kua magoli maana hilo ndio pekee linalokosekana.

YNWA

Next season asipopata injury atakuwa leading goal scorer wa EPL ahead of Halaand.
 
Next season asipopata injury atakuwa leading goal scorer wa EPL ahead of Halaand.
Kwa kua Klopp bado hana silaha za kuleta pasi za magoli kutoka Midfield naamini dirisha la usajili litaegemea kuleta wachezaji wenye jicho la pasi mpasuo design kama Debruyne ili huyu dogo sasa ang'are vyema pale mbele...
Bila kuumia msimu ujao ni kwake mazima kiatu cha dhahabu kinamhusu.

YNWA
 
View attachment 2539236

Hivi kweli eee.

ETG kawauza jamaa kuwaaminisha Anfield ni kama uwanja wa London Stadium ama Goodison Park kumbe hakujua hapa ni machijioni orijino.

YNWA
Liva huwa hawapendi dharau kabisa aisee

Liva hata iwe mbovu vipi ukileta dharau wanakuua

Pale anifilidi Pana majini pale kaka hayapendi dharau kabisa

Ukitaka uamini hili Madrid huwa wanatufunga sababu hawana dharau kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom