Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,253
Kumbuka ya leo ni saba kwa nungeBora mjavunja hii record aise.View attachment 2538518
Kumbuka ya leo ni saba kwa nungeBora mjavunja hii record aise.View attachment 2538518
Refa hakua na muda na kelele zake ilikua ni kazi kazi wala muda wa hizo antics haukuwepo.Nilikuwa naona tu masikio yake yanapepea tu mule ndani machinjioni Anfield![]()
😂 😂 😂 😂 😂 Klopp at his best.. Ndio mechi ya kwanza msimu huu pekee nimeona nini tumeki miss msimu huu.Mambo ya gengeni pressing hayo![]()
He is now a redView attachment 2538517
Salute this kid amebisha hodi kuingia mdomoni mwa watiifu pale Kops maana kuwafunga Manchester United means more.
YNWA

No we need to attack them from Monday morningHuu uzi tuufunge kwa mda twende uzi wa Man u![]()
Naomba mniache mkuu msije changia kifo changu kwa pressureView attachment 2538572
![]()
![]()
![]()
Leteni panado apewe allypipi..
Pole sana Mkuu. Kufungwo inauma ila kufungwa na Liverpool inauma zaidi.
YNWA

Aliongea dharau Sana ,hapo kina Wenger wamekaa miaka 20+ EPL lakini wanapaheshimu na sio kwamba walikuwa hawashindi ANFLIEDView attachment 2538578
Back to the drawing board aelewe hii ni EPL aache dharau kwa kua ni kocha wa timu kubwa aelewe Anfield sio pakwenda na mihemuko.
YNWA
Amewapa nini wanakikosa pale Theatre Of Dreams....He is now a red
Kwanza ashaweka uhasama na man u![]()
Huyu ETG ana mdomo mdomo sana na ukizingatia matokeo yabamwedea vyema basi akajiona ni wakati wake kutawala nyumbani na ugenini... Next time atakuja kwa heshima na aache bla bla.Aliongea dharau Sana ,hapo kina Wenger wamekaa miaka 20+ EPL lakini wanapaheshimu na sio kwamba walikuwa hawashindi ANFLIED
Dah bobbyView attachment 2538583
Bobby on his last Derby game na katupia goli woow classic Bobby Firmino.
YNWA


Arsenal alitufunga OT na sio kwamba alimiliki mchezo ,akaongea shombo ,Huyu ETG ana mdomo mdomo sana na ukizingatia matokeo yabamwedea vyema basi akajiona ni wakati wake kutawala nyumbani na ugenini... Next time atakuja kwa heshima na aache bla bla.
YNWA
🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️Bobby kaangalia maslahi mapana ya Liverpool hakua mbinafsi na baada ya kuona tupo kwenye mikono salama ya Nunez, Jota na Gakpo ameamua kuodoka zake akacheze kwingine na amegoma kuanzisha mazungumzo yoyote na timu yoyote ile mpaka ligi iishe kwa kuheshimu mkataba wake na Liverpool...Dah bobby
I wish abaki Bobby jamani
Mara mia tumgawe Hendo