Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Tukumbushane tu hapo Diaz haukuwepo na mambo ndio kama mlivyoona wale wageni kimyaa mtaani amani sana.
YNWA
Madrid wenyewe Jana kama walitazama mechi huko washaanza kujikojolea...kipigo kinawasubiriMki kumbuka mna madrid furaha yenu ina potea
Kama ujuavyo Liverpool wachezaji wengi hung'ara wakicheza kama unit hivyo jana likua ni mfano bora wa collective attack na collective defence bila kutegeana.Salah jana kacheza dynamically aisee maana alikuwa anadefence na kushambulia walishindwa kuelewa wamkabe vipi, kila wakishika mpira manjesta liva nao hawakuwa nyuma ku recover na kupeleka mashambulizi.
Hapo waliopo kwa mkopo hawajarejea sijui watawaweka wapi aisee.Sasahivi sijui mtatuambia nn
Chalii,benchi limejaa hivi na bado mnachapika
Umeona tulivyoyagonga yale matakataka manjesta
Yalikuwa km yanacheza rede zile goli 3 za mwishoView attachment 2538880