makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,995
- 104,516
Ndugu zangu, mmedundwa kama ngoma.
Akitimka Klopp anaweza kuja Graham Potter 😁Hili litimu nimeachana nalo mpaka siku nisikue FSG au klop mmoja au wote wametimka
karibu Man utd ,huku kila mechi Rashford anatupia tuHili litimu nimeachana nalo mpaka siku nisikue FSG au klop mmoja au wote wametimka
Nilijua kinachofuata
Sisi ni wabovu na klopp ni mpuuzi mmoja aliyekataa kusajili kuamini team yake ni nzima na kuamini maajabu yapo kwake milele
YNWA nyoko nyokonow we are walking alone mazafaken



NakaziaFSG mitano tena



Moja kati ya wachezaji wanaonikosha roho na moyo.Babu Milner anaingia kwenda kumkaba Vini Jr😂😂
Wangefunga hata 10
Fomu ya nida au 🙄🙄Naona tunaenda kurudi kwenye fom sasa.
Apo hatoki mtu kama kwa Mkapa 🤣🤣🤣🤣
Kumbe simba waliupiga mwingi tu 🤣🤣🤣🤣Wangefunga hata 10
Timu la kupumbavu sana hili
Upumbavu na kiburi vimetufikisha hapa
Siku natamani tufungwe hata 20 huyu baba bangi zimuishe kichwani.
Beki la dunia 😂😂😂😂