Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Enjoy while you can
YNWA
YNWA
Mane aliongea hiyo kituGomez hua lazima afanye jambo cha msingi apewe presha ndogo tu na utaona akiweweseka.. Henderson huyu hata sina neno ni kiongozi kama Kapteni alisema Mane ila uwanjani ni zuzu yupo yupo.
YNWA


Acha hizo aiseeMane alishia kusema ni kiongozi bora kabisa akimaanisha Best Captain... Hayo ya zuzu nimeongeza mimi kwa kua sina cha uongozi wala nini zaidi ya Henderson kupambwa...Mane aliongea hiyo kituAcha hizo aisee
Tayari kimenukaNgoja tuone 2nd Half Leo tutalala na viatu
Poa poaThis is Liverpool we know dadeki![]()
SurelyNaona tunaenda kurudi kwenye fom sasa.



mnapenda sana visasi ndo maana watu wanawakamia