Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
๐๐๐๐๐๐๐๐Haya soon kule kwa mahasimu wetu.
YNWA
Inashangaza Mane ameondoka![]()
![]()
![]()
Milner bila shaka ndio dalali wa Klopp kusaini Liverpool 2015. Bila Milner naamini huyu Klopp asingetua Liverpool otherwise utajiuliza Milner ana nini ambacho hana Gini au wengine ambao wamesepa Liverpool huku babu 37 + akiedelea kuupiga mchache sana na akisubiri mkataba mpya...
Klopp tafadhali asituangushe.
YNWA















๐๐๐๐๐๐Bahati zipo katika maisha na huyu Milner ni kielelezo cha bahati na upedeleo katika levo za juu sana...Inashangaza Mane ameondoka
Origi ameondoka
Ila Milner anaongezewa tu mkataba
๐๐๐๐๐๐๐ Na kocha wao nae atakua hivyo hivyo.
Wanaingia kabisa Kanzu![]()
Wewe ndio mwizi unapigwa kimyakimyaSisi tunavukuza mwizi kimya kimya![]()









๐๐๐๐๐๐Wewe subiri kama hujasikia Milner mmoja tena... Ndio utaelewa Klopp hapangiwiAkiwabakisha hao itabidi tumtume Bro wetu MosDef amtengue miguu na mateke hakuna namna.
Duuuu, nahisi hata Ulaya kuna uchawiYani Milner ana uhakika kuwa atapewa Mkataba wake wa Mwaka 1
As it stands, there are 3 concrete offers on the table, 2 offers za a full takeover na 1 offer ya minority stake
Gomez should stay.Gomez mwingereza
Henderson mwingireza
Na wote wana mkataba hadi 2026 huko.
Milner hata kosa kamoja tena. Ingawa Klopp alisema mabadiliko makubwa yanahitajika we shall see. Tupambanie top four. If we are going to win next two epl games story ya qualification inaenda kugeuka
YNWA
As it stands, there are 3 concrete offers on the table, 2 offers za a full takeover na 1 offer ya minority stake
It remains to be seen, kama hizo offer ni enough kwa FSG, as kwenye suala la full takeover JWH wants a LOT of money, na kwenye suala la minority stake, JWH still wants a full control, main reason ya watu wa Qatar ku-withdrew offer yao.
Bado mapema sana, na kuna mawili FSG wanaweza ku-buy sometime as hakuna real pressure kutoka kwa fans ya kuwaondoa, as they are still heavily backed by SOS and local fans, AU wakapata offer ambayo hawataweza kuikataa, but either-way, wawepo au wasiwepo, Klopp needs to be backed in the summer, tunahitaji kama ยฃ250m kui-reshape team.
Duuuu, nahisi hata Ulaya kuna uchawi