Kwahiyo mi nikikutafuta nakua nimekasirika? Hapana ollashoga ninataka kuhakikisha haujajiua badoNdio apo sasa jiulize inakuwaje apo 😂😂😂😂
Kwahiyo mi nikikutafuta nakua nimekasirika? Hapana ollashoga ninataka kuhakikisha haujajiua badoNdio apo sasa jiulize inakuwaje apo 😂😂😂😂
We Pimbi unashinda hapa Jukwaani kutoa uharo wako, unasahau kikundi chenu Cha kangamoko Kila siku mnaliwa kiboga......Tena siku hizi washikaji hawatumii KY Tena, ni kuchomeka tu inazama kilaiiini....Ndio apo sasa jiulize inakuwaje apo 😂😂😂😂
Kwani FSG hawataki kuiuza klabu?Yale mapimbi ya Chelsea yaliyokuwa yanakuja hapa kutunanga yako wapi now?......
Ni suala la muda tu, tutarudi kwenye ubora....
Top 4 ndiyoo target kwa Sasa......
#FSGOUTNOW
Astaghfirullah
Dah acha tu yani saiv kama nimemwagiwa maji vile 😖😖😖
Sema tukirud aise mutatutambua..saiv adi jukwaa la arse8 na manjestaa aka manyumbuz nayapita kaa siyajui vile 😖😃😃😃
Mnamtoa nan top four???Yale mapimbi ya Chelsea yaliyokuwa yanakuja hapa kutunanga yako wapi now?......
Ni suala la muda tu, tutarudi kwenye ubora....
Top 4 ndiyoo target kwa Sasa......
#FSGOUTNOW
Tunafurahia kwa Sasa 😂😂😂 weweAstaghfirullah
Baba Swalehe tema mate chini kwanza, Jumatano sio mbali ujue mtakuja kumtukana Klopp na wachezaji humu kabla hata ya kukutana na timu pendwa duniani.
Ila hata hivyo jana mliubonda mwingi sana mpaka zikanijia zile kumbukumbuku mbaya za msimu wa 2021-2022 jinsi mlivyotuonea kwa kutugongo goli 5-0 na 4-0.
Kikubwa nilichogundua hata nzi akiacha upambavu anaweza akatengeneza asali, ila Newcastle jana kuanzia kocha mpaka wachezaji akili zao zilikua hazipo kwenye Epl, muda wote walikua wanawaza mechi inayofata ya fainali ya Carabao cup.
Liverpool Ndoo
Nketiah Kiatu.
Nyie ni wa kwetu tu, mutaenda mbele atua mbili mutarudi hatua tano nyuma 🤣🤣🤣
Ndio apo sasa jiulize inakuwaje apo 😂😂😂😂
Hawa hawawezi kamatia hapa hadi mwisho



Gomez tumepigwa wallahView attachment 2522862
Aisee ndio wanaanza... Mdogo mdogo majibu yatapatikana.
Ila ukweli ni kwamba hatuna ukuta pale Liverpool Gomez ni bomb muda wowote anaharibu yule...
YNWA
Ulikuwa unaita Manure matakatakaDah acha tu yani saiv kama nimemwagiwa maji vile
Sema tukirud aise mutatutambua..saiv adi jukwaa la arse8 na manjestaa aka manyumbuz nayapita kaa siyajui vile![]()

Sisi hapo tunatoka siku siyo nyingi. Ngoja mweiz wa tatu ufike tutafungulia mvuwa za magoli kila timu itakayokutana na Chelsea itajuta.
Kwa huyu huyu Prof wenu Graham ?Sisi hapo tunatoka siku siyo nyingi. Ngoja mweiz wa tatu ufike tutafungulia mvuwa za magoli kila timu itakayokutana na Chelsea itajuta.



