Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ndio apo sasa jiulize inakuwaje apo 😂😂😂😂
We Pimbi unashinda hapa Jukwaani kutoa uharo wako, unasahau kikundi chenu Cha kangamoko Kila siku mnaliwa kiboga......Tena siku hizi washikaji hawatumii KY Tena, ni kuchomeka tu inazama kilaiiini....
Jana watakatifu, wiki ijayo Spurs.....
 
Top notch magician

We are coming for you uefa

..... Nleteeni man u pumbafu View attachment 2522167
Astaghfirullah
Baba Swalehe tema mate chini kwanza, Jumatano sio mbali ujue mtakuja kumtukana Klopp na wachezaji humu kabla hata ya kukutana na timu pendwa duniani.
Ila hata hivyo jana mliubonda mwingi sana mpaka zikanijia zile kumbukumbuku mbaya za msimu wa 2021-2022 jinsi mlivyotuonea kwa kutugongo goli 5-0 na 4-0.
Kikubwa nilichogundua hata nzi akiacha upambavu anaweza akatengeneza asali, ila Newcastle jana kuanzia kocha mpaka wachezaji akili zao zilikua hazipo kwenye Epl, muda wote walikua wanawaza mechi inayofata ya fainali ya Carabao cup.

Liverpool Ndoo
Nketiah Kiatu.
 
Dah acha tu yani saiv kama nimemwagiwa maji vile 😖😖😖
Sema tukirud aise mutatutambua..saiv adi jukwaa la arse8 na manjestaa aka manyumbuz nayapita kaa siyajui vile 😖😃😃😃
BD67F631-5D3D-485E-B3E5-CFB8D68F1CA5.jpeg

Akibaki huyu hakuna cha kurudi wala nini
 
Astaghfirullah
Baba Swalehe tema mate chini kwanza, Jumatano sio mbali ujue mtakuja kumtukana Klopp na wachezaji humu kabla hata ya kukutana na timu pendwa duniani.
Ila hata hivyo jana mliubonda mwingi sana mpaka zikanijia zile kumbukumbuku mbaya za msimu wa 2021-2022 jinsi mlivyotuonea kwa kutugongo goli 5-0 na 4-0.
Kikubwa nilichogundua hata nzi akiacha upambavu anaweza akatengeneza asali, ila Newcastle jana kuanzia kocha mpaka wachezaji akili zao zilikua hazipo kwenye Epl, muda wote walikua wanawaza mechi inayofata ya fainali ya Carabao cup.

Liverpool Ndoo
Nketiah Kiatu.
Tunafurahia kwa Sasa 😂😂😂 wewe

I missed this moments najua ni za Muda mchache
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom