Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sisi hapo tunatoka siku siyo nyingi. Ngoja mweiz wa tatu ufike tutafungulia mvuwa za magoli kila timu itakayokutana na Chelsea itajuta.
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔 Yaaani nyie hapo ndio mtoe mvua ya magoli aaa wapi sahau ndugu yangu.

Kile ni kijiwe cha kupiga ela.

YNWA
 
Gomez tumepigwa wallah


Ila hao watoto wameanza kuupiga mwingi
Ujio wa Gapko ni kama umeamsha ari kwa Nunez.
😂😂😂Na aliongoze mkataba nadhani yupo mpaka 2026 au 2025 lol sijui hawa wachezaji wakiongeza mkataba kwanini hua wa hovyo sanaaa.

Gakpo na Nunez ndio future yetu pale mbele haya ya sasa ndio itakua mode of business .

YNWA
 
Huyu jamaa alijua kuwaumiza kwenye ile fainali😂😂😂Hope atakua kwenye kiwango kile kile
😂😂😂😂Klopp alivyoambiwa ile January 2018 kwamba hana kipa wa kuchukua ubingwa wowaote alimtetea sana Karius kiasi dogo akajiona ni modern day Dida... Sasa ile fainali ndio Klopp akaelewa kwamba alifanya kosa kutomsikiliza home boy wenu Gary Nevile.

Kazi kwenu pale mnajipigia tu.

YNWA
 
Na aliongoze mkataba nadhani yupo mpaka 2026 au 2025 lol sijui hawa wachezaji wakiongeza mkataba kwanini hua wa hovyo sanaaa.

Gakpo na Nunez ndio future yetu pale mbele haya ya sasa ndio itakua mode of business .

YNWA
He
Nani huyo alimuongeza mkataba?
Hii timu Kuna muda inatia hasira hadi unatamani uwangonge makofi watu.
 
Screenshot_20230219_144021_com.android.chrome_edit_193796641226157.jpg


Captain Chaos katika ubora wake.

YNWA
 
Huyu jamaa akimaliza msimu huu na akaendelea,basi mganga wake atakuwa na nguvu
Akina Chugga wanapiga ramli rasmi jamaa atemwe maana ameshindwa kabisa wachezaji wake waamshe na changamoto kubwa ni kuunganisha mfumo bila kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja endapo hilo atafanikisha basi wataambulia kucheza Conference League..

YNWA
 
Akina Chugga wanapiga ramli rasmi jamaa atemwe maana ameshindwa kabisa wachezaji wake waamshe na changamoto kubwa ni kuunganisha mfumo bila kutegemea uwezo wa mchezaji mmoja mmoja endapo hilo atafanikisha basi wataambulia kucheza Conference League..

YNWA
Kumchukua jamaa ilikuwa ni maamuzi mabovu kuwahi tokea
Yaani wanaruka majivu wanakanyaga moto
 
Waondoke asee..
Yanatunyonya tu
😂😂😂😂😂😂Utadhani Klopp anakatiwa commission kiasi pale.

Kazi ipo.

Klopp amesema juzi mabadiliko makubwa sana yaja Liverpool japo hajui atapewa kiasi gani cha ela lakini anasema mabadiliko hayakwepeki na pazuri kasema wenye timu wanajua anataka nini... Ila Klopp bangi ukute pia Milner yupo kwenye listi ya mapendekezo yake.

YNWA
 
Utadhani Klopp anakatiwa commission kiasi pale.

Kazi ipo.

Klopp amesema juzi mabadiliko makubwa sana yaja Liverpool japo hajui atapewa kiasi gani cha ela lakini anasema mabadiliko hayakwepeki na pazuri kasema wenye timu wanajua anataka nini... Ila Klopp bangi ukute pia Milner yupo kwenye listi ya mapendekezo yake.

YNWA
Akiwabakisha hao itabidi tumtume Bro wetu MosDef amtengue miguu na mateke hakuna namna.
 
😂😂😂😂😂😂Utadhani Klopp anakatiwa commission kiasi pale.

Kazi ipo.

Klopp amesema juzi mabadiliko makubwa sana yaja Liverpool japo hajui atapewa kiasi gani cha ela lakini anasema mabadiliko hayakwepeki na pazuri kasema wenye timu wanajua anataka nini... Ila Klopp bangi ukute pia Milner yupo kwenye listi ya mapendekezo yake.

YNWA


Yani Milner ana uhakika kuwa atapewa Mkataba wake wa Mwaka 1
 
Yani Milner ana uhakika kuwa atapewa Mkataba wake wa Mwaka 1
😂 😂 😂 😂 Milner bila shaka ndio dalali wa Klopp kusaini Liverpool 2015. Bila Milner naamini huyu Klopp asingetua Liverpool otherwise utajiuliza Milner ana nini ambacho hana Gini au wengine ambao wamesepa Liverpool huku babu 37 + akiedelea kuupiga mchache sana na akisubiri mkataba mpya...

Klopp tafadhali asituangushe.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom