Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Chelsea is next


Kwasasa Wacha waendelee kufurahia kutumia £300M+ only in January

Akina OllaChuga Oc na lembu
Wamejaza benchi hatari
JamiiForums994181140.jpg
 
Klabu ya Manchester City imeshtakiwa Ligi kuu England kwa madai ya ukiukaji wa sheria za fedha, jambo ambalo linaweza kusababisha kukatwa pointi au hata kuondoshwa kwenye Ligi. Hii inakuja baada ya uchunguzi wa miaka minne wa Ligi Kuu ya Uingereza kuhusu fedha za klabu hiyo.

Katika taarifa ya Premier League leo Jumatatu Februari 6, 2023, Man City wanadaiwa kukiuka sheria zinazohusu utoaji wa taarifa sahihi za fedha, hasa kuhusiana na mapato ya klabu, ikiwa ni pamoja na mapato ya udhamini na gharama za uendeshaji, kati ya misimu ya 2009-10 na 2017-18, pamoja na maelezo ya malipo kwa mameneja na wachezaji wakati wa kampeni za 2009-10 na 2015-16.

Adhabu mbalimbali zinaweza kutozwa Man City iwapo watapatikana na hatia ya makosa hayo, ikiwa ni pamoja na adhabu ya pointi.

Premier League pia ilipeleka City kwenye tume huru kutokana na klabu hiyo kushindwa kufuata Kanuni za Utoaji Leseni za Klabu na Uchezaji wa Haki za Kifedha za UEFA kati ya 2013 na 2018.

Mnamo 2020, City ilipigwa marufuku ya miaka miwili kutojihusisha na soka la Ulaya lakini adhabu hiyo ilibatilishwa na Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo kwa ukiukaji huu.

Hata hivyo Klabu hiyo ilipigwa faini ya Euro milioni 10 kwa kushindwa kutoa ushirikiano lakini ikaruhusiwa kucheza katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

#KitengeSportsView attachment 2508637

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Finally Steven Gerald Anaenda kupata kikombe cha epl,
 
Ulianzaje kuipenda liverpool FC?

Mimi nilikuwa darasa la 6 , nikanunuliwa jezi ya torres (9) ikawa kwisha habari yangu , hadi now nimemaliza chuo still YNWA.
Mimi nilikuwaga nashabikia jezi nyekundu

Mechi ya comeback dhidi ya AC-milan nilikuta father anaangalia game tayari liva kapigwa tatu nikawa nawaonea huruma nikawa upande wao

Nikalopoka kuwa hizo goli zitarudi zote NIKACHEKWA ....basi bhan zikarudi kweli mjomba wangu kesho yake akaninunulia jezi ya kuyt

All in All am MANCHESTER UNITED NOW japo nilikuwa UNITED 2007 MPAKA 2014 nikaama nimerudi tena hizi siku kusoma upepo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom