Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Mkuu tumefikia hatua ya kufurahia matokeo ya sare tena Anfield kwakweli tuna hali mbaya.Klopp is confused fella. If he is not making tactical mistake then he is making squad mistakes...
That happens when the usual 1st 11 is broken out of form and Klopp forced to alter new ideas new bench or young players coming in to the squad ambao hawajacheza kwa pamoja competitive games mara kwa mara.
Klopp was used to play Same Front guys(Mane n Salah rarely got injured) same MF guys same Defence sasa introducing new bench boys and new ideas when th team is low in confidence lost n confused will always be a challenge but the sooner they play together mara kwa mara th better we become compact and lethal...
Ushindi wa Wolverhampton na sare ya jana ni mwanzo mzuri na imekua wiki nzuri kwa hali tulionyao japo tumekutana na timu ambazo nao wamepoteana but matokeo yatawajenga wachezaji 'wapya' wajitune zaidi na wale wa zamani wakishaona uhakika wa namba ni ushindani nao watazidisha umakini...
YNWA
