Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Unaonaje akatua hapo kwenye timu zenu za daslam🤣Ebu tusaidie huyu bwana achomoke hapa Anfield leo leo tupumue for real tumechoka na huyu bwana kutembelea nyota za wengine... Akipangwa upande wowote lazima palegee tazama upande wa Trent badala amsaidie yeye ndio kwanza anataka kufunga na kutoa na klosi yasiokua na kichwa...
YNWA



kusaka kupanda tena EPL msimu ujao.






