Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Nafurahi kuona watu wanasoma neno la MunguHaha
Nafurahi kuona watu wanasoma neno la MunguHaha
Konate?Nat philips huyu akipewa nafasi ni zaidi ya milenda milenda konate, matip na Gomez, sijui kwanini klop hampi nafasi huyu mwamba
I think Klopp needs a new assistant Coach.Klopp is confused fella. If he is not making tactical mistake then he is making squad mistakes...
That happens when the usual 1st 11 is broken out of form and Klopp forced to alter new ideas new bench or young players coming in to the squad ambao hawajacheza kwa pamoja competitive games mara kwa mara.
Klopp was used to play Same Front guys(Mane n Salah rarely got injured) same MF guys same Defence sasa introducing new bench boys and new ideas when th team is low in confidence lost n confused will always be a challenge but the sooner they play together mara kwa mara th better we become compact and lethal...
Ushindi wa Wolverhampton na sare ya jana ni mwanzo mzuri na imekua wiki nzuri kwa hali tulionyao japo tumekutana na timu ambazo nao wamepoteana but matokeo yatawajenga wachezaji 'wapya' wajitune zaidi na wale wa zamani wakishaona uhakika wa namba ni ushindani nao watazidisha umakini...
YNWA
Unlike other retired star players, SG ni kama Zidane, wanakipawa cha ku-command authority because katika kipindi cha miaka yote waliyocheza mpira walifanikiwa ku-influence a lot of kids ambao wengi ni footballers sasa, so kunakuwa na ile sense ya respect na royality kwenye team, ndiyo maana Zidane alifanikiwa sana madrid, because Kina Kroos, Modric, Benzema, Bale, Casemiro, Varane, Carvajal, Vazquez etc, wameishi na kukua wakimshuhudia Zidane akicheza mpira katika highest LEVEL, so ilikuwa ni lazima wajitoe uwanjani for him, its nature.![]()
![]()
Steve wanted to send message to FSG that kwamba ile nyongeza ya mkataba wa Klopp ulikua hauhitajiki..
Unajua EPL bhana haina kibonde kama sokoni timu ikiwa makini basi uhakika wa kufanya vyema na bahati iwepo pia...
Stev alipewa sapoti na wamiliki na wapo ambitious wanahitaji kua nafasi ya 5 mpaka 8 sasa yeye sokoni kaingia kichwa kichwa kwa kufuata hisia badala ya data and he lost the dressing room n th rest is history.
Team well loaded na vipaji Buedia, Witkins, Cash, Ramsey, Luiz nk
YNWA
We are few signings away & few tweaks kwenye management & adminstration area, kurudi kama zamani.Kushabikia Liverpool ukiwa na BP ujue ni kujitafutia matatizo makubwa sanaHii timu hua inakupa raha sanaaa na ikianza maumivu basi ni maumivu haswa case study msimu wa 2020 2021 ilikua balaaa tupu mpaka Alison anafunga ile goli la kutupeleka Champions League tulikua hoi sana....
Jikaze ndugu tumeipenda wenyewe
YNWA
We are few signings away & few tweaks kwenye management & adminstration area, kurudi kama zamani.
We are eyeing Paul Mitchell (Monaco DOF), kuja kuchukua nafasi ya Julian Ward, he's good.
Big miss itakuwa ni Ian Graham tu, sidhani kama tutaweza kum-replace, but i believe Paul Mitchell & Klopp will work vizuri sana.
Paul Mitchell track-record yake ni nzuri sana, from Southampton, to spurs mpaka Monaco
At Souhampton he managed to sign the likes of Clyne & Yoshida, we ended up signing Clyne from them, at Spurs his track record ni very impressive, he signed Son, Alli, Aldeweirled etc
Na, he was responsible kwa kum-sign Tchouamen for Monaco kutokea Bordeaux, na nadhani alifahamiana zaidi na Klopp kwenye debacle ya Tchouamen, maana strong rumuors ni kuwa Klopp amemchagua yeye mwenyewe binafsi.
Kwenye MF, i think Thiago should stay, we will need him kwenye ku-see out games in the neae fufure, ni aina ya wachezaji ambao watacheza kwa muda mrefu sana baada ya kuhit 30, mfano Modric, Pirlo au hata Moutinho at Wolves, ni tactical players ambao huwa hawawewi phased na speed ya mchezo, hata Rodri wa Man city atacheza mda mrefu sana, tactical players huwa wanadumu sana, we cant sell Thiago, especially kama tunafanya re-build, same kwa Firmino.For playing defence in EPL speed is of the essence man.. Now playing dynamic LB for Klopp system means speed to attack and speed to defend if th3 situation requires... Tsimikas is good in defending and that left foot can put a proper cross but he lacks speed especially vs speedy teams we will suffer... Robertson is not fully finished he still can do a proper job on his day but he has no 2 more seasons as 1st LB of the club...
During Summer 2022 i really thought Klopp will go for Bremer but he didn't that would have been cool to fore plan future partnership ya CB area, right now we have a weak leaking defence regardless VVD anacheza ama la probably due to MF inakua bypassed easily na mashambulizi yanakua mengi kiasi wanachoka mpaka wanaachia... Without a proper working MF lawama kwa defence hazitaisha kabisa..
We need to offload MF wafuatao
Keita
Ox
Henderson
Jones
Fabinho
Thiago
Milner
Elliott acheze RW that his favourite
Mabeki we need to offload
Gomez
Matip
Forwards we neee to offload
Firmino.
Fabio need a quick 1 season loan.
Lets wait June 2023 mipango endapo klabu haijauzwa itakua aje.
YNWA
Chelsea will get Top 4 kama wakimpata Caicedo.Chelsea ndani ya miezi 6 tu wamesajili kwa pesa kutumia pesa nyingi zaidi ya Liverpool kwa misimu minne iliyopita na ukumbuke wamiliki wa Chelsea ni wapya hawajaoja utamu wa ela ya kumiliki supa power club pale Uingereza kama ambavyo wamiliki wetu FSG chini ya Klopp wamefaidi...
Tuna wamiliki wa ajabu ma opportunitist namba moja kwao kushiriki Champion League ndio target huku mashabiki tukitegemea kila dirisha tuone usajili wa maana kumkimbiza kipara kumbe wao ni ushindi kumaliza big 4 kuza brand ya Liverpool kwa miaka kadhaa aafu uza klabu kwa faida... We have been played by this Yankees big time yaaani they had a mission they have succeeded now wanasaubiri kupokea cheki kutoka kwa waarabu worth £3.5 billions+ huku wao walinunua timu over £310m...
YNWA
hahhahahaaaaa.....
Firmino alikuwa ni mlevi sana off the pitch, ni kama Jack Grealish.Football and faithView attachment 2492263
I am not against it.Finished club.View attachment 2492871
Are we this broke kushindwa Caicedo kwa hali yotote ile hata kutoa Phillips kwa mkopo na kulipa hilo dili kwa awamu kadhaa kama FSG hawataki kulipa ela sababu dirisha likisogea hivi itakua ngumu kumpata kwetu sababu wenyewe Brighton watakua hawana muda wa kupata replacement unless iwe direct cash....Chelsea will get Top 4 kama wakimpata Caicedo.
Ila Wanyaqca kwa vibao hamjambo 😂😂😂😂😂😂😂😂..Nimetamani nikunase mabao🤣
Huyo wa Nini sasa😂😂
Let us put jokes aside, I'm serious ujue 🤣🤣
Shinda kuu ni Klopp aisee ni he lets others dictate issues klabuni here n there just because we are heading for the same course doesn't mean wote wana uwezo kama Klopp.... Lijnders is good but he is trying too had to be mridhi wa Klopp by any means necessary na hapo anafeli asubuhi sababu huu sio wakati kuleta influence klabuni akidhani itambeba wakati Klopp anaachia ngazi...I think Klopp needs a new assistant Coach.
Ljinders amepewa room kubwa sana ya ku-present new ideas, but naona zote zina-backfire at the moment, playing Salah as a touchline winger was Lijnders idea, he even boosted about it kwenye medias, and that was the first cause of our downfall this season.
I dont think it was klopp alone who was refusing Plan B MFs from Ward, and its largely making sense now kwa Klopp kuamua kurudi kwa Matheus Nunes, i'm 100% sure it was Ljinders who vetoed this signing, having a ball to feet MF, who is so good at recycling possession, resisting press, good & strong hold-up play, pacey, ball player etc, kusinge-align na idea ya Lijnders kumchezesha Salah as a touchline winger, maana to play Salah there ilikuwa ni lazima Trent a-occupy a lot of space kwenye our Right MF, ambao kungezuia sana explosiveness ya Nunes, play Henderson & Elliott ilikuwa ni safe option, ambayo matokeo yake yamekuwa ni mabaya sana.
Now Klopp ameanza kurudi kwenye basics, ambapo rule namba moja ya kurudi kwenye basic ni kujaribu ku-shape your defensive line (backline + MF).
NEW: Fenway Sports Group are seeking new shareholders at Liverpool with a full takeover of the club now looking less likely. #lfc [liverpool echo]Kumbe Kuna hadi walevi wachezajiFirmino alikuwa ni mlevi sana off the pitch, ni kama Jack Grealish.
but nadhani aliamua kubadilika baada ya kukamatwa kwa ile case yake ya kuendesha akiwa amelewa, think baada ya case yake kuwa resolved, club itakuwa ilimkata wages za kutosha.


Kumbe Kuna hadi walevi wachezaji![]()
Ila Wanyaqca kwa vibao hamjambo..
YNWA










Kuna tatizo kubwa pale Aston Villa in the dressing.. Its crisis managing a divided broken dressing room... Alivyotemwa Dean Smith and Steve G kupewa kazi alitumia wachezaji wale wale na kushinda mechi kuokoa msimu wao na wakabaki kwenye Ligi na ajabu wachezaji wale wale walijitoa sana kwa ajili ya Steve na ajira yao maana kubakia ligi kuu ilikua ni lazima kwa uwekezaji ule.. Sasa msimu huu target ilikua wasogee mpaka nafasi za kucheza Europa lakini ikawa matokeo sio rafiki sana kwa Steve na mashabiki wakasema he need to go...Unlike other retired star players, SG ni kama Zidane, wanakipawa cha ku-command authority because katika kipindi cha miaka yote waliyocheza mpira walifanikiwa ku-influence a lot of kids ambao wengi ni footballers sasa, so kunakuwa na ile sense ya respect na royality kwenye team, ndiyo maana Zidane alifanikiwa sana madrid, because Kina Kroos, Modric, Benzema, Bale, Casemiro, Varane, Carvajal, Vazquez etc, wameishi na kukua wakimshuhudia Zidane akicheza mpira katika highest LEVEL, so ilikuwa ni lazima wajitoe uwanjani for him, its nature.
ni kama SG, ni moja kati ya wachezaji wachache sana wakiingereza waliofanikiwa kupata global appeal, na ku-draw in huge number of admirers across the world, ndiyo maana at one time Club ilikuwa inamtumia ku-attract players, moja kati ya our negotiation tool kipindi kile ilikuwa ni "utacheza na Steven Gerrard", na SG alikuwa instructed numerous times kuwapigia simu our targets kuwa-convince kuja LFC, ndiyo maana hata alipoenda Rangers alifanikiwa kubadilisha atmosphere mapema sana, at Aston Villa, alifanikiwa kuwapelekea Coutinho from Barcelona, watu watasema kwakua alicheza nae, but SG alimpeleka Camara at Aston Villa, alimpeleka Diego Carlos at Aston Villa, but at the end hata kwa pull aliyonayo, nilikuwa sioni akifanikiwa at Villa, maana job ilikuwa too big for him kwa kipindi kile, na aliwahi sana kuondoka Rangers.
Alipofukuzwa Aston Villa, nilikuwa naombea sana asikubali kazi za Championship clubs, au relegation fodder PL clubs, kwasababu zingemuharibia zaidi CV yake as a coach and a legendary player, but hii ya kutaka kwenda Poland haijakaa vizuri kabisa, alitakiwa a-hold out for Midtable bundesliga & Liga 1 clubs, na akae huko ajinoe na kujikomaza for a while, but path anayotaka kuchagua now, haitomsaidia/kumuongezea chochote kwenye his coaching career.