Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naona Chelsea wanaenda kuwapiku Arsenal lakn hali itakuwa pale pale
Screenshot_20230114-210925.jpg
 
Magarasa?ni wachezaji haohao msimu uliopita walifika UEFA final plus nafas ya 2 ligi kuu...Wachezaji wamechoka..wamecheza kwa kiwango kikubwa kwa muda mrefu sana..tatzo la mashabk tunajua kulaumu tu
Itakua wewe ni mgeni humu.. Lawama ni ngumu kukwepa ndugu.. Iko hivi hawa wachezaji wetu wametumika vilivyo tangu 2017 mpaka sasa kwa Klopp kukomaa kwamba ni muumini wa kupenda squad yenye wachezaji chagua la kwanza wachache hivyo alikomaa na wachezaji wale wale mwaka nenda mwaka rudi bila kusajili kimkakati..

Kama sikosei baada ya dirisha la 2018 Klopp amesajili MF mmoja ambae ni Thiago sasa hapo utaona tatizo lipo kwa Klopp kukomaa na wachezaji wale wale huku umri nao ukiwakamata kweli kweli na huku Liverpool ikishiriki mashindano yote kwa kucheza mfumo ule ule wa 4 3 3 attacking with high line defence.

Sasa tulipo kwanza sio kwa bahati mbaya hata mbali ndio mahala sahihi kabisa. Kwa Klopp kutokua na maono ya mbali na kuwekeza sahihi kikosini na bila upendolea kuwabakisha wanaume wa kazi kazi klabu hii ingekua salama sana sababu damu changa ingechanganyika na hawa wazee..

Kingine ni kwamba Klopp akumbali mapema kwamba hii timu hawezi tena kucheza mfumo ule ule wa miaka ya nyuma kipindi tupo on fire lazima akumbaliane na hali ya sasa ya wachezaji wake wapo hoi na aachane na 4 3 3 attacking kwa sababu tunapoteza mipira hovyo na kaunta zikipigwa muda mwingi tunateseka kama sio kufungwo.. Klopp kukomaa na mfumo ule ule ni janga lingine lazima ajitazame ajue zama zimebadilika na timu hazituogopi siku hizi wanajua fika mchezo wetu ni mmoja tu tukiponywa mpira ni kaunta tu.. Mapema Klopp abadili mfumo itamsaidia sana angalau kusogea nafasi za Uefa..

Mpaka sasa anasema hata sajili MF dirisha hili na picha ipo wazi udhaifu mkuu wa Liverpool ni kati kwa sasa mipira haikai na wanapitwa kama wamesimama yaaani kuzuia hawamo wala kupeleka mashambulizi hawamo pia...

Majeruhi nayo hayajatuacha salama msimu huu akipona huyu anaumia huyu yaaani, idara ya matibabu ijitahidi sana kuangalia namna ya kuzuia haya majeruhi ya kujirudia baada ya muda mfupi kwa mfano Jota, Firmino na Diaz wote hawa walipona hata kabla hawajaingia uwanjani wakaumwo tena.

Kwa sasa tuwe na subira hakuna namna zaidi ya maumivu.

Kutesa kwa zamu.

YNWA
 
Sikuiz wachezaji wetu wanamikimbio fulan amazing , akipigiwa pass anakwepa yaani anaisindikiza kwa macho mpaka mpira unaenda kwa mpinzani. Konate na Matip kule wanakimbiza utafkir wamekunya gongo, Mitoma alikuwa anawakimbiza balaa huko walipo wanakandwa na maji ya Moto.

Anyway tuliiachagua wenyewe.
 
Magarasa?ni wachezaji haohao msimu uliopita walifika UEFA final plus nafas ya 2 ligi kuu...Wachezaji wamechoka..wamecheza kwa kiwango kikubwa kwa muda mrefu sana..tatzo la mashabk tunajua kulaumu tu
Garasa zote 🚮🚮🚮
 
Something is not right with either the training programme or medical team or both no team should have this many injuries and some not even from games this needs looked at

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Klopp determined to prove the doubters that his squad is still capable of the unexpected he tried this in 2020 2021 season by even signing mediocre players in Kabak n Ben Davies na kilichofuata tulipigika balaa na kumhitaji Allison kutupeleka Uefa na sasa tena Klopp huyu huyu anarudia makosa yale yale kutoingia sokoni na kwa bahati mbaya sana kukiwa na majeruhi ya key players na loss of form ya main players wa Klopp...

Disjointed, lost, we lack identity hatuja cha pressing game wala nini tupo tupo... Cody ni raw talent sio EPL level wa timu yenye decline kama Liverpool kumtegemea alete miujiza na uongo kabisa...

Klopp ajitazame sana tumechoka visingizio yeye kuzidi kukomaa na ma Yankees kuwatetea na yeye ma bango ya safari soon atayaona..

Plain truth seen with naked eyes MF is dead hakuna cha Fabinho, Kieta, Thiago, Henderson yaaani wote hao hakuna mwenye afadhali...

4 3 3 attacking means wachezaji washambuliaji ndio mstari wa kwanza ku defence je kwa sasa hilo lipo kwao ama wapo wapo tu... Hakuna mawasiliano ya kimkakati uwanjani wachezaji wanajichezea ila mradi.

We are finished.

YNWA
 
LiverPunda leo zinaenda kushonwa tena na Brighton & Hove Albion.
Leandro Trossard tokea jana usiku ameiloweka kabisa ndani ya bakuli la mchuzi wa pweza, kina Alexis Mac Allister, Adam Lallana, Evan Ferguson, Kaoru Mitoma, Solly March, Lewis Dunk, Levi Colwill, Pascal Grob, Danny Welbeck na Moises Caicedo ndio wanamalizia kutafuna roba la mihogo mibichi.

Prediction
Liverpunda 1 - 3 Brighton
Bet won
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom