Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ona huyu🤣
IMG_20230114_201843.jpg
 
nunez ana movement nzuri sana kutafuta nafasi kuliko wote pale Liverpool pengine hata EPL shida ipo kwenye Ku convert zile nafasi kuwa magoli. Pengo la Nunez lipo jamani 🤔
Captain Marvelous
Captain Chaos ni majeruhi... Kwa hali ya sasa ya MF awepo Nunez ama la matokeo ni yale yale...

Klopp is in for a rude shock..

Haya maneno yake yanamtokea puani sasa kikosi kimechoka yeye anasema everything is fine..

Goli la Welbak ni aibu mno ma beki wawili wanakua pedestrians yaaani.

Japo kwa hali ilivyo ni ngumu sana kutupiana lawama but Konate is another Keita in the making..

YNWA
 
Bora achukue mtu mwingine timu,Tumpe hata Matola
Hili Babu lishakalisha makalio hapo, linaona sawa tu timu kufungwa
Pumbav sana

We are tired of this bulshit

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nendeni ujerumani kwanza mkapige goti kwa Sadio Mane, yule mtu wa Mungu akiendelea kukunja nafsi mtashuka mpaka daraja.
Leo kulikua hakuna mechi bali tulikua tunaangalia chengesha bwege, na mabwege leo yamechengeshwa kwelikweli.

Mitano tena kwa Klopp,
Imagine being Ass,
Trust the process.
Screenshot_20230108_212908.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230114_195842.jpg
    Screenshot_20230114_195842.jpg
    47.8 KB · Views: 10
Hata kuwatania nawaonea huruma watani zangu wa kufikia! Sasa haya matanga hayasafirishwi. Ni hapa hapa tunazika hadi arobaini!
 
Poleni ndugu zangu wa liverpool. Tukubaliane tu kutokubaliana kwamba liverpool kwa sasa imekuwa timu ya kawaida kabisa.

Wachezaji wote. Narudia tena wachezaji wote, waliocheza leo ni magharasa na hakuna chochote walichokifanya uwanjani zaidi ya kwenda kututia aibu sisi mashabiki wao.
Brighton wangeongeza umakini kidogo tu, leo walikuwa wanatuweka goli 5. Kwa jinsi Adam Lalana alivyocheza leo, ameonyesha uwezo mkubwa kuliko mchezaji yeyote wa liverpool. Did you know? Adam Lalana kwa sasa ni bora mara 1000 kuliko wachezaji wote kwenye eneo la kiungo cha liverpool.

Hivi huyu Klopp bado ana mategemeo na kina Heddo! Fabby! Alcantara! Jones! Keita! Kweli jamani? Mmeona tofauti ya kiungo kilichocheza leo cha Coincedo, Estupina, na McAllister? Yaani hawa jamaa ni mafundi hatari. Mmeona Mitamo na Murch kitu walichoifanyia backline yate leo? Si nawauliza nyie jamani?
 
Poleni ndugu zangu wa liverpool. Tukubaliane tu kutokubaliana kwamba liverpool kwa sasa imekuwa timu ya kawaida kabisa.

Wachezaji wote. Narudia tena wachezaji wote, waliocheza leo ni magharasa na hakuna chochote walichokifanya uwanjani zaidi ya kwenda kututia aibu sisi mashabiki wao.
Brighton wangeongeza umakini kidogo tu, leo walikuwa wanatuweka goli 5. Kwa jinsi Adam Lalana alivyocheza leo, ameonyesha uwezo mkubwa kuliko mchezaji yeyote wa liverpool. Did you know? Adam Lalana kwa sasa ni bora mara 1000 kuliko wachezaji wote kwenye eneo la kiungo cha liverpool.

Hivi huyu Klopp bado ana mategemeo na kina Heddo! Fabby! Alcantara! Jones! Keita! Kweli jamani? Mmeona tofauti ya kiungo kilichocheza leo cha Coincedo, Estupina, na McAllister? Yaani hawa jamaa ni mafundi hatari. Mmeona Mitamo na Murch kitu walichoifanyia backline yate leo? Si nawauliza nyie jamani?

Tulia dawa iingie next time tutawapa Casemiro awasaidie nafasi ya Kiungo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom