Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mimi The Mona najipenda sana, kwa kuwa sitaki kupata hypertension kutokana na press ya Klopp ya jana. Basi sina tumaini lolote msimu huu zaidi ya kuona timu yangu LFC ikicheza bila kujali matokeo yoyote yale.
 
LiverPunda leo zinaenda kushonwa tena na Brighton & Hove Albion.
Leandro Trossard tokea jana usiku ameiloweka kabisa ndani ya bakuli la mchuzi wa pweza, kina Alexis Mac Allister, Adam Lallana, Evan Ferguson, Kaoru Mitoma, Solly March, Lewis Dunk, Levi Colwill, Pascal Grob, Danny Welbeck na Moises Caicedo ndio wanamalizia kutafuna roba la mihogo mibichi.

Prediction
Liverpunda 1 - 3 Brighton
 
LiverPunda leo zinaenda kushonwa tena na Brighton & Hove Albion.
Leandro Trossard tokea jana usiku ameiloweka kabisa ndani ya bakuli la mchuzi wa pweza, kina Alexis Mac Allister, Adam Lallana, Evan Ferguson, Kaoru Mitoma, Solly March, Lewis Dunk, Levi Colwill, Pascal Grob, Danny Welbeck na Moises Caicedo ndio wanamalizia kutafuna roba la mihogo mibichi.

Prediction
Liverpunda 1 - 3 Brighton
Dogo mbona unawaaibisha wazazi /Walezi wako? Humu ukizungumza lugha ya kiSport utaeleweka vizuri tu. Una tatizo la Kisaikolojia mdogo wangu na hii yote kwa sababu ya kuangalia pornography na kufanya masturbation. Badirika aisee wewe ni Baba au Babu wa mtarajiwa anza kutengeneza utu wako. Achana na hizo pornography na masturbation zinakuharibu akili na ndio maana unaandika lugha zisizo na staha bila kuhisi vibaya.
 
Dogo mbona unawaaibisha wazazi /Walezi wako? Humu ukizungumza lugha ya kiSport utaeleweka vizuri tu. Una tatizo la Kisaikolojia mdogo wangu na hii yote kwa sababu ya kuangalia pornography na kufanya masturbation. Badirika aisee wewe ni Baba au Babu wa mtarajiwa anza kutengeneza utu wako. Achana na hizo pornography na masturbation zinakuharibu akili na ndio maana unaandika lugha zisizo na staha bila kuhisi vibaya.
Hao vijana mkuu wamekosa malezi sahihi ya wazazi
 
Msimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal
Nyie maboya huo👆 ndio msimamo wa ligi msimu huu, napia si hivyo tu Hadi carabao,FA na Europe huyo mwamba hapo juu namba 1 bado anashiriki, hivyo mtajua hamjui msimu huu mechi 8 mfululizo unbeaten and still more suplise to come for the red devil's👍
 
Tuko tayari kwa lolote
IMG_20230114_173602_890.jpg


Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
OFFICIAL: The nominees for The Best FIFA Men’s Player of 2022

Sadio Mané
Achraf Hakimi
Julián Álvarez
Karim Benzema
Kevin De Bruyne
Mohamed Salah
Vinícius Junior
Neymar
Erling Haaland
Lionel Messi
Kylian Mbappé
Luka Modrić
Robert Lewandowski
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Jude Bellingham

Who wins ?

@Uefa_Champions_Leagueee

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
LiverPunda leo zinaenda kushonwa tena na Brighton & Hove Albion.
Leandro Trossard tokea jana usiku ameiloweka kabisa ndani ya bakuli la mchuzi wa pweza, kina Alexis Mac Allister, Adam Lallana, Evan Ferguson, Kaoru Mitoma, Solly March, Lewis Dunk, Levi Colwill, Pascal Grob, Danny Welbeck na Moises Caicedo ndio wanamalizia kutafuna roba la mihogo mibichi.

Prediction
Liverpunda 1 - 3 Brighton
Kwamba mashine ya trossard imelala kwenye bakuli la supu ya pweza na nyingine anainywa
 
Dogo mbona unawaaibisha wazazi /Walezi wako? Humu ukizungumza lugha ya kiSport utaeleweka vizuri tu. Una tatizo la Kisaikolojia mdogo wangu na hii yote kwa sababu ya kuangalia pornography na kufanya masturbation. Badirika aisee wewe ni Baba au Babu wa mtarajiwa anza kutengeneza utu wako. Achana na hizo pornography na masturbation zinakuharibu akili na ndio maana unaandika lugha zisizo na staha bila kuhisi vibaya.
Mkuu hapo kuna lugha gani isiyo na staha imetumika?
Arsenyani wenyewe wameniteua mimi kua ndio tutorial wao wa adabu na nidhamu kwenye lile Jukwaa lao baada ya kufurahishwa na kuridhishwa na kiwango kikubwa cha maadili na nidhamu nilichonacho.
Punguza hasira na makasiriko kwenye kipindi hiki kigumu cha mpito mnachopitia la sivyo itakulazimu kutumia gharama kubwa kwenda kuonana na psychiatrist.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom