Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

View attachment 2481312

This man he promised this seao2 will be our happy season yaaani na tu book na mahoteli kwenda finals.. Haha bado tu book jamani ama in playstation mode.

YNWA
Mi ninacho mkubali Klopp hua hana hasira wala chuki na wachezaji wa timu pinzani hata akifungwa, leo kiroho safi kabisa baada ya mpira kuisha kaenda kuwakumbatia wachezaji wa Brighton akiwapongeza huku akiachia lile tabasamu lake mwanana kabisaaaaaa.
Hakika Jürgen Klopp ni mtu na nusu kwa kweli.

Mitano tena kwa Klopp ake.
Screenshot_20230114_224858.jpg
 
Mi ninacho mkubali Klopp hua hana hasira wala chuki na wachezaji wa timu pinzani hata akifungwa, leo kiroho safi kabisa baada ya mpira kuisha kaenda kuwakumbatia wachezaji wa Brighton akiwapongeza huku akiachia lile tabasamu lake mwanana kabisaaaaaa.
Hakika Jürgen Klopp ni mtu na nusu kwa kweli.

Mitano tena kwa Klopp ake. View attachment 2481364

We will recover...

Ni lini ni ngumu kujua...

Hawa wachezaji sio ma robot wamechoka.

YNWA
 
Poleni ndugu zangu wa liverpool. Tukubaliane tu kutokubaliana kwamba liverpool kwa sasa imekuwa timu ya kawaida kabisa.

Wachezaji wote. Narudia tena wachezaji wote, waliocheza leo ni magharasa na hakuna chochote walichokifanya uwanjani zaidi ya kwenda kututia aibu sisi mashabiki wao.
Brighton wangeongeza umakini kidogo tu, leo walikuwa wanatuweka goli 5. Kwa jinsi Adam Lalana alivyocheza leo, ameonyesha uwezo mkubwa kuliko mchezaji yeyote wa liverpool. Did you know? Adam Lalana kwa sasa ni bora mara 1000 kuliko wachezaji wote kwenye eneo la kiungo cha liverpool.

Hivi huyu Klopp bado ana mategemeo na kina Heddo! Fabby! Alcantara! Jones! Keita! Kweli jamani? Mmeona tofauti ya kiungo kilichocheza leo cha Coincedo, Estupina, na McAllister? Yaani hawa jamaa ni mafundi hatari. Mmeona Mitamo na Murch kitu walichoifanyia backline yate leo? Si nawauliza nyie jamani?
Ongeza sauti mkuu
20230102_223714.jpg
 
Itakua wewe ni mgeni humu.. Lawama ni ngumu kukwepa ndugu.. Iko hivi hawa wachezaji wetu wametumika vilivyo tangu 2017 mpaka sasa kwa Klopp kukomaa kwamba ni muumini wa kupenda squad yenye wachezaji chagua la kwanza wachache hivyo alikomaa na wachezaji wale wale mwaka nenda mwaka rudi bila kusajili kimkakati..

Kama sikosei baada ya dirisha la 2018 Klopp amesajili MF mmoja ambae ni Thiago sasa hapo utaona tatizo lipo kwa Klopp kukomaa na wachezaji wale wale huku umri nao ukiwakamata kweli kweli na huku Liverpool ikishiriki mashindano yote kwa kucheza mfumo ule ule wa 4 3 3 attacking with high line defence.

Sasa tulipo kwanza sio kwa bahati mbaya hata mbali ndio mahala sahihi kabisa. Kwa Klopp kutokua na maono ya mbali na kuwekeza sahihi kikosini na bila upendolea kuwabakisha wanaume wa kazi kazi klabu hii ingekua salama sana sababu damu changa ingechanganyika na hawa wazee..

Kingine ni kwamba Klopp akumbali mapema kwamba hii timu hawezi tena kucheza mfumo ule ule wa miaka ya nyuma kipindi tupo on fire lazima akumbaliane na hali ya sasa ya wachezaji wake wapo hoi na aachane na 4 3 3 attacking kwa sababu tunapoteza mipira hovyo na kaunta zikipigwa muda mwingi tunateseka kama sio kufungwo.. Klopp kukomaa na mfumo ule ule ni janga lingine lazima ajitazame ajue zama zimebadilika na timu hazituogopi siku hizi wanajua fika mchezo wetu ni mmoja tu tukiponywa mpira ni kaunta tu.. Mapema Klopp abadili mfumo itamsaidia sana angalau kusogea nafasi za Uefa..

Mpaka sasa anasema hata sajili MF dirisha hili na picha ipo wazi udhaifu mkuu wa Liverpool ni kati kwa sasa mipira haikai na wanapitwa kama wamesimama yaaani kuzuia hawamo wala kupeleka mashambulizi hawamo pia...

Majeruhi nayo hayajatuacha salama msimu huu akipona huyu anaumia huyu yaaani, idara ya matibabu ijitahidi sana kuangalia namna ya kuzuia haya majeruhi ya kujirudia baada ya muda mfupi kwa mfano Jota, Firmino na Diaz wote hawa walipona hata kabla hawajaingia uwanjani wakaumwo tena.

Kwa sasa tuwe na subira hakuna namna zaidi ya maumivu.

Kutesa kwa zamu.

YNWA
Klopp is just an arrogant person
 
Klopp determined to prove the doubters that his squad is still capable of the unexpected he tried this in 2020 2021 season by even signing mediocre players in Kabak n Ben Davies na kilichofuata tulipigika balaa na kumhitaji Allison kutupeleka Uefa na sasa tena Klopp huyu huyu anarudia makosa yale yale kutoingia sokoni na kwa bahati mbaya sana kukiwa na majeruhi ya key players na loss of form ya main players wa Klopp...

Disjointed, lost, we lack identity hatuja cha pressing game wala nini tupo tupo... Cody ni raw talent sio EPL level wa timu yenye decline kama Liverpool kumtegemea alete miujiza na uongo kabisa...

Klopp ajitazame sana tumechoka visingizio yeye kuzidi kukomaa na ma Yankees kuwatetea na yeye ma bango ya safari soon atayaona..

Plain truth seen with naked eyes MF is dead hakuna cha Fabinho, Kieta, Thiago, Henderson yaaani wote hao hakuna mwenye afadhali...

4 3 3 attacking means wachezaji washambuliaji ndio mstari wa kwanza ku defence je kwa sasa hilo lipo kwao ama wapo wapo tu... Hakuna mawasiliano ya kimkakati uwanjani wachezaji wanajichezea ila mradi.

We are finished.

YNWA
Players are playing alhamdulilah football
 
Klop out tumechoka visingizio vyake yeye midfield anakwambia hakuna tatizo mpaka apate mchezaji mzuri sokoni waliokuwepo wanatosha
 
Nendeni ujerumani kwanza mkapige goti kwa Sadio Mane, yule mtu wa Mungu akiendelea kukunja nafsi mtashuka mpaka daraja.
Leo kulikua hakuna mechi bali tulikua tunaangalia chengesha bwege, na mabwege leo yamechengeshwa kwelikweli.

Mitano tena kwa Klopp,
Imagine being Ass,
Trust the process.
View attachment 2481244
Yani matakataka yanakimbizwa kila kitu 🤣🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom