Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Hii Everton jamani madeni yote haya na hali yao uwanjani tia maji.
Naona Glazer kama kawaida yao wanafaidika na Manchester United kimya kimya
YNWA
Umeanza🤣
Ila nina mashaka Suarez atakuwa last born mwenzangu.
Kukomalia Akina henderson, Thiago na milner sasa tunayavuna mabuaView attachment 2474696
Ukweli mchungu sana huu. Japo Klopp anakomaa hapana lakini huu ndio ukweli kikosi umri upo juu sana kuedana na mikiki ya EPL.
YNWA
Captain huwezi compare Era za Suarez & Mane na sasa hivi remember era za Suarez & Mane tulikuwa ni middle table team na tulikuwa tu natengneza team. Halafu kwann Klopp anasajili sana Wafungaji na sio Viungo? Jota, Diaz na Nunez. Tatizo lipo kwenye ufungaji wa magoli. Hujaona hilo?

| While both Naby Keita and Alex Oxlade-Chamberlain are set to leave Liverpool, Klopp could be open to them staying at the club and signing new deals now they are involved again. [@GraemeBailey for @TEAMtalk]Imagine being ASSLivapuli mbovu munacheza lini

Na bado Mzee Baba Mjeremani anasema haoni tatizo lolote na MF wake... Huyu inabidi aanze kuvaa miwani upya maana itakua haya mambo yanampita 😂😂 kwa kua hii MF ipo mahututi haina jipya...Kukomalia Akina henderson, Thiago na milner sasa tunayavuna mabua
Klopp by th way yupo kwenye rebuilding mode anajua fika Firmino na Salah are past thier peak hivyo gradually akaanza kuleta usajili mpya kuchukua nafasi zao muda ukifika... Diaz for ManeCaptain huwezi compare Era za Suarez & Mane na sasa hivi remember era za Suarez & Mane tulikuwa ni middle table team na tulikuwa tu natengneza team. Halafu kwann Klopp anasajili sana Wafungaji na sio Viungo? Jota, Diaz na Nunez. Tatizo lipo kwenye ufungaji wa magoli. Hujaona hilo?![]()
![]()
![]()
![]()
Tulobhwike Nkamu, tukuti ndagha Malafyale Gwamaka.Ndagha tulobhwike Nkamu, nungwe ulobhwike?
Mwaka umegeuka na Team yetu ndio hivyo, Tumeipenda wenyewe Nkamu acha tupambane nayo. Juzi rafiki yako Nunez kakutumia salamu 😊


