Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20230106_230159_com.android.chrome_edit_943370593064383.jpg


Kabisa Pep ni genius.

YNWA
 
Screenshot_20230106_230224_com.android.chrome_edit_943357656639906.jpg

Duuh huyu kocha anasajiliwa Chelsea kutoka Brighton alikua ana nuru na 'kijana' fulani hivi amazing lakini ndani ya muda mfupi yupo hoi kachoka haswa yaaani h haelewi kama yupo ndotoni ama namna gani.

YNWA
 
Ubishi wa huyu mzee hua ni kiwango Kingine i admire him for that....

Najiuliza alitegemea aje hawa wachezaji wakishagonga 31+ waedelee ku perform kila wiki kwa kucheza high line, high intensity hapa ndio Klopp anafeli maana kwa namna hali ilivyo mapema tu angeelewa Fabinho over used hana tena miguu ya ku cover ground ya kutosha matokeo yake ni kwamba defence inashambuliwa muda mwingi na kwa kasi ya ajabu sana na kwa kua hawana ulinzi lazima wataachia tu na kufungwo...

Swali la kujiuliza ni kwamba huu ushukaji wa kiwango haukuja kama mafua hapana ulionekana mapema 2020 kwamba tunaekelekea Kusini kwa spidi kali sana Klopp kama kawaida yako alipuuza aidha kusudi ama kwa kua hakupewa bajeti wala ahadi ya bajet ndio maana akawa anasimama na kutetea kikosi chake.. Ni ngumu kuelewa on stat perceptive usajili wa Thiago na kumwachia Gini ambae alikua all round MF akicheza AM, HM, DM RAM nk na akiwa na ratio ya kucheza gemu 45+ kila msimu kwa output ile ile kimsingi kuodoka Gini ndio anguko la Klopp high line plan sasa changanya na hawa wachezaji wengine kuchuja form yao especially Trent na VVD pale nyuma utaona hatuwezi kua salama... Pia MF kutegemea dogo Elliott ambae sio RAM naturally ndio alete new spark ilikua a big ask for the boy. Bila uwekezaji wa maaja

Ukitazama Klopp akisema ni collective ana maanisha hili tatizo lipo kwa timu yote hivyo sio MF, defence nk na ukitazama ni kweli kabisa mchezaji pekee ni Allison anaeeleweka mishe zake Liverpool wengine hawaelewi yaani utadhani tunatazama pacha wao uwanjani na sio wao...shinda ni kwamba MF ndio injini ya timu ikafa kama sasa na timu itaelemewa.. Nilitazama namna Brentford na Leicester walivyotawala pale kati mpaka nikaona huruma sababu hatuna tena identity pale Kati zaidi ya wachezaji waliochokaa hoi.

YNWA
We are finished we mzee 😂
 
We are finished we mzee 😂
Yes we are being by passed by lower level opponent is just plain naked truth how far we have gone back as a team..
Main point to remember
#Firmino false 9 no longer works he used to defend from the front,

# Trent coverings grounds to defend n create is no where his usual class i guess msimu huu ana assist moja tu EPL utaona dogo alivyochuja huku akiwa responsible tukifungwo goli zaidi 4 kupitia his awkward marking n awareness.

#VVD losing his super instinct especially where to put his body or leg or when to anticipate proper opponent forward moves.

#Thiago lacking proper combination pale kati as both or all every player Klopp has thrown has down ward trajectory..

#Fabinho amezeeka haraka sana sio kwa kuchuja kule. Kwa hali hii huyu naona safari haipo mbali kama Real bado wanamhitaji.

# Diaz Jota Firmino being out of the doctors room aint doing us any favours..they are the 1st line of defence as we play.

#that we have Ox, Milner, Henderson and we let go Mane, Gini is one hell of mistake that th Liverpool transfer gurus made.

#lacking a proper system we keep moving from 4 3 3 to 4 2 3 1 nk hii nayo haijaleta utulivu kwa wachezaji.

#transfer cant solve all issues we are facing but definitely we need all round MF

YNWA
 
Hivi mko na uhakika kama hii ni Liverpool yetu?
Aiseee,mechi ya juzi imenipa machungu mno🥺
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom