Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Screenshot_20221231_220645_com.android.chrome_edit_763053403172106.jpg


Mwamba kama mwamba. Hakuna kama yeye mpaka sasa.

YNWA
 
View attachment 2465357

Hii rekodi ya kushinda Kombe La Dunia mara 3 kweli kuna mchezaji wa kizazi cha sasa anaweza kuja kuipata...

YNWA

It will take centuries… Kizazi hiki ushindani mkubwa sana kwa world cup ya mwaka huu unaona kabsaaa jinsi kulibeba mara mbili imekuwa ngumu kiasi.

Kumbuka hayati Pele alianza kulibeba akiwa na 17 yrs and xxxdays. Kizazi hiki kuingia kwenye team at that age especially NT ni ngumu na ukawa 1st kwa kutegemewa ni ishu.

Huenda ikaja kutokea lkn itachukua muda
 
View attachment 2465358

Hawa wenye timu hii nao sifa tu hivi hawajaiona Liverpool waje kuinunua

YNWA

Hahah tunawatamani sana wanunuzi wa hivi.

Hii january tayari ungesikia Enzo, Caicedo, Ambrabat tayari. Tunasubiri summer kufanya another 3 signings.

Under FSG last two summer and winter kuna sajili zilifanyika kihuni tu.

Kabak
Davies
Arthur

Departure ya kihuni
Gini (imetuhunt sana hii).

Let us expect entrance za kimafia in case take over mpka june wawe wenye mkwanja.
 
Hahah tunawatamani sana wanunuzi wa hivi.

Hii january tayari ungesikia Enzo, Caicedo, Ambrabat tayari. Tunasubiri summer kufanya another 3 signings.

Under FSG last two summer and winter kuna sajili zilifanyika kihuni tu.

Kabak
Davies
Arthur

Departure ya kihuni
Gini (imetuhunt sana hii).

Let us expect entrance za kimafia in case take over mpka june wawe wenye mkwanja.
FSG hao biashara zao hua nu uza nunua hata hawana wanaonunuliwa sasa Klopp kasema hivyo hivyo kwamba ela inapatikana ndio itumike na ndio maana kuona Enzo ni zaidi ya 100 wenyewe wakaona isiwe shinda kumpambania.

Wachezaji wazuri ni bei na wanahitaji pia mishahara na marupurupu ya kutosha ndio maana Klopp akasema huyu Cody kwa namba zake uwanjani magoli na ma assist angekua anacheza Spain La Liga bei yake tusingeiweza, hii inaonyesha FSG wao wanachungulia unapolished gem wanatua mazima ananunuliwa kwa mpango ule ule huko miaka ijayo aje kuuzwa ela ndefu kama ya C10.

Panic Buy ndio zilileta akina Kabak Liverpool yaaani ile ilikua danganya toto kwa mashabiki maana walisema mwalimu apewe silaha uwanjani Edwards kipindi kile akaambiwa ebu leta wachezaji ili mradi kuwatuliza mashabiki.

Bila hii timu kuuzwa mbona tutazidi kua wasidikizaji. Epl moja kwa miaka 7 haikumbaliki kabisa.

Ngoja muda utasema.

YNWA
 
Bob Paisley alikua mtu na nusu. Rekodi zake zingine mpaka leo hakuna anaesogea kuzipiku. Japo wengi humuona Shankly kama Mr Liverpool binafsi Bob ndio nguzo kuu ya msingi ya Liverpool Club.
Screenshot_20221231_220208_com.android.chrome_edit_774238773792274.jpg


Alidumu Liverpool kwa karibu miaka 50 akianza kama mchezaji, baadae mwalimu wa viungo, msimamizi, baadae kocha msaidizi na baadae Kocha kamili baada ya Shankly kuachia ngazi mwaka 1974, na bodi memba mpaka 1996.

Ni kombe la FA hakushinda pale Liverpool.

Yupo kwenye Top 5 makocha bora duniani kwa milienia iliyopita.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom