Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kina Henderson wanafanya hilo zoezi liwe gumu, dahh watu wakiona Mids zetu zinavyocheza wanaongeza bei.
🤔🤔😎😎😎😎😎😎😂😂😂😂Una utani na Captain haha ana kazi moja tu kumleta Bellingham Liverpool 🤣🤣🤣🤣hii dili kwa huyu dogo kushiriki mbona tushamkosa...

Ila duh kwa ile performance ya jana mbona naona tukipigwa ela sokoni yaaani jana MF ilikua head less kitchen

YNWA
 
🤔🤔😎😎😎😎😎😎😂😂😂😂Una utani na Captain haha ana kazi moja tu kumleta Bellingham Liverpool 🤣🤣🤣🤣hii dili kwa huyu dogo kushiriki mbona tushamkosa...

Ila duh kwa ile performance ya jana mbona naona tukipigwa ela sokoni yaaani jana MF ilikua head less kitchen

YNWA

Hiyo kazi imemamshinda, binafsi hawa English players siwakubali sana, wako wachache wanaupiga ila waliobaki wanakuzwa na media.
120 kwa jude kwelii?? Sasa wale kina Pedri, Gavi watanunuliwa kwa pesa ngapi???
 
Hiyo kazi imemamshinda, binafsi hawa English players siwakubali sana, wako wachache wanaupiga ila waliobaki wanakuzwa na media.
120 kwa jude kwelii?? Sasa wale kina Pedri, Gavi watanunuliwa kwa pesa ngapi???
😂😂😂 Na imshinde tu... Jude tetesi ni kwamba release clause ni chini ya 80m sasa mtihani uliopo ni ofa ya mshahara wake.

Dortmund hua ni wa siri sana kujua hata hizo release clause zao.

Liverpool hatuna muda wa kusubiri mwezi wa June 2023. Tunahitaji usajili sasa.

YNWA
 
😂😂😂 Na imshinde tu... Jude tetesi ni kwamba release clause ni chini ya 80m sasa mtihani uliopo ni ofa ya mshahara wake.

Dortmund hua ni wa siri sana kujua hata hizo release clause zao.

Liverpool hatuna muda wa kusubiri mwezi wa June 2023. Tunahitaji usajili sasa.

YNWA
Naamini watatufanyia suprise kama kwa Fabinho.. naomba tu awe tayari kwa matumizi.
80m+ tukienda Kule latino tunaweza pata wachezaj wazurii tu ila muda ndio Tatizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom