Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huu ukuta wa Everton tukikutana nao sisi hatutoboi
Screenshot_20221231-200152.jpg
 
Naamini watatufanyia suprise kama kwa Fabinho.. naomba tu awe tayari kwa matumizi.
80m+ tukienda Kule latino tunaweza pata wachezaj wazurii tu ila muda ndio Tatizo.
Klopp husema "its has to be the right player with the right price, otherwise we wont buy"... Hivyo ngoja tuone dirisha likishafunguliwa watasajili nani.

Nina imani na Julian Ward.

YNWA
 
Ccccccc DullyJr na Aaron Arsenal naona njia ya ya ubingwa taratibu inaanza kukaa anapotaka Arteta na vijana wake.

YNWA
Arsenal tunahitaji kushinda mechi 10 ,

Man city hapa Kati ana game ngumu na atadondosha point tu Tena zakutosha,

City huyu ukibishana nae unaweza hata kumfunga kabisa ,rejea Vs man u ,2nd half Hadi possession man u aliongoza .

IMG_20221231_235431.jpg
 
Arsenal tunahitaji kushinda mechi 10 ,

Man city hapa Kati ana game ngumu na atadondosha point tu Tena zakutosha,

City huyu ukibishana nae unaweza hata kumfunga kabisa ,rejea Vs man u ,2nd half Hadi possession man u aliongoza .

View attachment 2464936
Adui mwombee njaa.

Kipara kwa namna yoyote ile asiifanye hii ligi kua farmers league lazima msimu mchukue ubingwa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom