Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Kuliko Jude mmoja bora kusajili wachezaji watatu ambao ni MF wawili na huyu winga mmoja inatosha.Sio usajili m baya kwa hiyo pesa, shida isije ikawa ndio U - turn ya Jude
YNWA
Kuliko Jude mmoja bora kusajili wachezaji watatu ambao ni MF wawili na huyu winga mmoja inatosha.Sio usajili m baya kwa hiyo pesa, shida isije ikawa ndio U - turn ya Jude
Henderson is tiredHajawahi kushindwa kwenye kupika wachezaji.
I think this january we need Mid. Too atleast one CAM/DM (if possible) aingizwe kwenye mfumo
Liverpool way. Here we go.Dili limefanyika ki mafia sana… no rumours deal done (99%)
Absolutely he will come good. Ni suala muda tu atakaa sawa.Nina imani kubwa sana kwa Nunez
Kwani anae laumiwa ni klopp au Fsg walio shindwa kumlipa mane?
Kabisa ni boraKudus hafiki 50
Amrabat hafiki 50..
Caicedo hafiki 50...
Bora kubeba hao wote kuliko kutoa 120 Kwa Enzo
Few stat for the new boy
View attachment 2459468
Klopp has got his man. Boy might be ready for 2/1/23 game.
Zawadi ya mwaka mpya kwa mashabiki wa Liverpool.
Kuumia kwa Jota na Diaz ni pigo kubwa kwetu hivyo huu usajili umekuja wakati mwafaka.
YNWA
Kwa akil yako unaona aliyefananishwa hapo ni jesus pekee?Why Liverpool mnapenda Sana kumfananisha huyu Nunez na Gabriel Jesus kila huyu Dogo anapozingua
Kwanini msikubali huyu Nunez Ni average player na Kuna uwezekano tukawa tumepigwa?
Nunez Bei yake full package Ni €100m
Jesus full package Bei yake Ni €50m
Profile , umuhimu katika timu Huyo Nunez hawez kumfikia Jesus ,
Nunez Ni mchezaji aliye shine msimu mmoja tu benfica, Liverpool kwa tamaa zao wakapigwa €100m
Kwenye usajili Ni kawaida kupigwa ,Nunez ana poor first touch,hajiamini ,
Nunez ajitetee mwenyewe asifananishwe na wengine , Ni mchezaji wa €80-100m
Hatutegemei utetezi mwingi
Wivu utakuuaHamna
Kitu apo suala la muda tu, Gakpo siyo complete player anahitaji coaching ya maana ili awe bora,Hamna kitu apo
Ifadhi hiyo meseji mkuuWivu utakuua
Nawalaumu woteKwani anae laumiwa ni klopp au Fsg walio shindwa kumlipa mane?
Bado goli 16,na kwa form yake haitomchukua miaka miwili kutimiza hizo goliNafikiri Salah ataingia top five mapema sana
Naona umefuraaahi sana Kaka Saccos😂
Huyu anajua mara 2 ya Bellingham
Hahahahaha halafu ujue nina mpango wa kuja huko RC wenu ni Classmate wangu primary hiyo. Achana na SACCOS miss Liverpool, JF watu wengi ni matapeliNaona umefuraaahi sana Kaka Saccos![]()



