Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mnajaribu kumpamba na kumtetea ila huyu dogo hata mikimbio yake tuu bora Embolo,

Kufunga atafunga ila shida ni timing ya kufunga hayo magoli
Nina imani na dogo ni suala la muda tu ata click... Anafanya mengi mema kama ambavyo walimu wanamfundisha kasoro yake kuu ni kufunga na hilo naamini atalifanyia kazi kadri siku zinasonga.
Price tag yake ya £64m kufika £100m kama performance bonus sio ya kitoto ikiwa ni club record hivyo dogo anacheza kwa presha kubwa sana anajua "all eyes on me" pazuri ni pale mashabiki wa Liverpool wamemkubatia na kumtia moyo jana kapewa sub japo hakufunga lakini wimbo alipata kwa kua harakati zake zinaonekana.

Akisharudisha ile confidence ambayo uliona gemu ya Uefa Anfield Liverpool vs Benfica dogo atakua habari nyingine kabisa. Ni suala la muda tu.

YNWA
 
Huyo gakpo

Aisee klopp is cooking something

Tukibeba na Jude basi basi wanangu imeisha
Screenshot_20221227_084522.jpg

Dokta dogo kashatua tayari anasubiri dirisha lifunguliwe mengine yaishe.

The transfer fee is between £35m and £45m.

YNWA
 
Nina imani na dogo ni suala la muda tu ata click... Anafanya mengi mema kama ambavyo walimu wanamfundisha kasoro yake kuu ni kufunga na hilo naamini atalifanyia kazi kadri siku zinasonga.
Price tag yake ya £64m kufika £100m kama performance bonus sio ya kitoto ikiwa ni club record hivyo dogo anacheza kwa presha kubwa sana anajua "all eyes on me" pazuri ni pale mashabiki wa Liverpool wamemkubatia na kumtia moyo jana kapewa sub japo hakufunga lakini wimbo alipata kwa kua harakati zake zinaonekana.

Akisharudisha ile confidence ambayo uliona gemu ya Uefa Anfield Liverpool vs Benfica dogo atakua habari nyingine kabisa. Ni suala la muda tu.

YNWA

Nina imani kubwa sana kwa Nunez
 
Few stat for the new boy

View attachment 2459468

Klopp has got his man. Boy might be ready for 2/1/23 game.

Zawadi ya mwaka mpya kwa mashabiki wa Liverpool.

Kuumia kwa Jota na Diaz ni pigo kubwa kwetu hivyo huu usajili umekuja wakati mwafaka.

YNWA

Dili limefanyika ki mafia sana… no rumours deal done (99%)
 
Wamiliki wa liverpool ni wabahili Sana wale Jamaa!

Liver haitotetea taji KWA makosa ya kukosa viungo wenye NGUVU na ari kati Kati ya uwanja Katika mzunguko wa KWANZA wa ligi,kiss ubahili wa wamiliki!

Kuna kazi ngumu inatusubiri!

Ngoja Tuone!
 
All time top-goalscorers for Liverpool:

1. Rush 346 (660 games)
2. Hunt 285 (492)
3. Hodgson 241 (377)
4. Lidell 228 (534)
5. Gerrard 186 (710)
6. Fowler 183 (369)
7. Dalglish 172 (515)
8. Salah 171 (275)

Salah is one goal behind Dalglish, having played 239 fewer games!
 
All time top-goalscorers for Liverpool:

1. Rush 346 (660 games)
2. Hunt 285 (492)
3. Hodgson 241 (377)
4. Lidell 228 (534)
5. Gerrard 186 (710)
6. Fowler 183 (369)
7. Dalglish 172 (515)
8. Salah 171 (275)

Salah is one goal behind Dalglish, having played 239 fewer games!
Nafikiri Salah ataingia top five mapema sana
 
DM napendekeza Sofyan Amrabat

Not bad.

Jurgen knows his team’s weakness but he has no choice with the presence of FSG as owners.

Nafikiri tuzidi kuomba take over ifanyike mapema ili hii january atleast tupate three players and summer three players. Keita Ox Milner hawa bye bye.

Atleast DM and CAM mmoja.
Trossard
Tielemans
Ambrabat
Kudus (if klopp think otherwise)

YWNA
 
Huyu ndio anaenda kumuweka sawa nunez
Huyu dogo anatumia miguu yote kama Jota hivyo Nunez klosi zitashuka kwake kama mvua.

On a side note inaonekana jeraha la Diaz sio la kitoto maana mpaka wanatoa hizi ela kwa huyu dogo si mchezo...

Sasa tusubiri sapraizi ya MF kwa Enzo mh naona big take hio ela inayotajwa kwa kweli asepe zake Manchester United... In the meantime Fabio ingekua powa apate mkopo na pia gym inamhusu ajenge stamina maana dogo akiguswa huyo chini na mikiki ya Epl inahitaji stamina design kama Eliot ule mkopo BB ulimsaidia sana kabla ya jeraha lile kumrudisha nyuma.

Tumeanza dirisha la January 2023 kwa laiti traki.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom