Tangu kuumia kwa Diaz huyu dogo Nunez ametumika LW na kimsingi anajitajidi sana kwanza alikotoka alikua focal point Benfica pale mbele sasa akatua na kujikuta kuna mfumo tofauti na kule wakati anaanza ku settle CF majeruhi kwa Jota na Diaz na hatimae kujikuta sasa ni LW akicheza kwa bidii haswa sana kashatengeza nafasi kadhaa kwa Salah na wengine..
Boy has 23yrs whom am i to say he ain't be a hit EPL wakati bidii naziona haswa. He is his biggest critic. He ain't satisfied with his performance at all, his facial expressions tells its all.
Kwa kweli msimu huu loss of form na majeruhi yametudhiri parefu sanaa.
YNWA