Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hiki kikosi namna gani ndugu zangu.


Screenshot_20221226_195854_com.android.chrome_edit_527001530434166.jpg

Screenshot_20221226_195912.jpg


Dogo Doak anaanza kusugua benchi mdogo mdogo kwa maadalizi ya kupata uzoefu wa EPL.

YNWA
 
Tangu kuumia kwa Diaz huyu dogo Nunez ametumika LW na kimsingi anajitajidi sana kwanza alikotoka alikua focal point Benfica pale mbele sasa akatua na kujikuta kuna mfumo tofauti na kule wakati anaanza ku settle CF majeruhi kwa Jota na Diaz na hatimae kujikuta sasa ni LW akicheza kwa bidii haswa sana kashatengeza nafasi kadhaa kwa Salah na wengine..

Boy has 23yrs whom am i to say he ain't be a hit EPL wakati bidii naziona haswa. He is his biggest critic. He ain't satisfied with his performance at all, his facial expressions tells its all.

Kwa kweli msimu huu loss of form na majeruhi yametudhiri parefu sanaa.

YNWA
Mnajaribu kumpamba na kumtetea ila huyu dogo hata mikimbio yake tuu bora Embolo,

Kufunga atafunga ila shida ni timing ya kufunga hayo magoli
 
Even Salah mlisema sio complete player so hatuwashangai
Tulisema Nunez, kiufup huo gakpo hawez kuanza pale Liverpool,niambiwe mumeongeza squad depth kwa Sababu ya injury za wachezaji wenu ila hana uwezo wa kumweka bench Diaz, firmino,Salah,Jota,carvalho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom