Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Njoo utatukuta
Tutakupokea Kwa mikono yote na miguu

Kaka Saccos nikopee hela za kicoba chenu😂
Hahahahaha halafu ujue nina mpango wa kuja huko RC wenu ni Classmate wangu primary hiyo. Achana na SACCOS miss Liverpool, JF watu wengi ni matapeli
 
Njoo utatukuta
Tutakupokea Kwa mikono yote na miguu

Kaka Saccos nikopee hela za kicoba chenu
Jina langu ni Frankie Manyanza. Hela zilipotea kitapeli aisee humu humu JF. Kikoba kingine chote kimekauka nacho kuna mwenzetu yupo hapa Muhimbili siku ya 12 hana fahamu aligongwa na gari ndio tunamuuguza
 
Huyu anajua mara 2 ya Bellingham

Bellingham akikutana na Viungo wenye akili kidogo huwez kumuona

Ila media za UK zinavyojua kuwapamba wachezaji wao Ni hatari


Enzo Fernandes mechi iwe ngumu au nyepes utamuona , technically yupo vzr ,passing yupo vzr , physical yupo vzr

Bellingham eti anauzwa €130m huu Ni utapeli katika soka
Wanataka kututapeli kama walivyo tutapeli kwa Nunuz
 
Haya haya kwa Coady ulikuwa mwanzo tu View attachment 2459926
The stories you wonna read as the year end...

Imangine Enzo at the centre of the park controlling the pace of the game woow future looks bright with this news...

Hawa akina Jones kwa kweli watafute namba maana kwa usajili huu ukifanikiwa mbona kikosi msimu ujao kikiwa kamili kutakua bam bam Anfield.

YNWA
 
Cody Gakpo will sleep at Virgil van Dijk house for the next 3 nights. #lfc


Van Dijk has done his bit with Gakpo.

Let’s hope Trent and Henderson have done their with Bellingham
Huyu Bellingham atatufilisi bora atue huko RM bhana... Wasiwasi dili la kuuza hii klabu likianza linaweza kuchukua sio pungufu ya miezi 4 mpaka 5 na sina hakika wakija tena wamiliki ma Yankees watatoa mpunga dirisha la June 2023 kwa Klopp afanye yake.

Ishu ilivyo hii klabu inahitaji usajili kila idara ina maana CB mmoja, MF wawili, LW mmoja(Cody) kwa bei za wachezaji zinavyopaa ni wastani wa 50mx4 ni sawa 200m ela ya usajili kabla ya mengineo hivyo utaona dau la Bellingham linachukua bajeti yote ya usajili wa klabu hapo 2023 na hapo sijaweka ela ya mauzo kwa kua sioni mchezaji wa kuuzwa haraka kwa zaidi ya to 15m pale kwa sasa labda Phillips tu ila kwa wengine naona watasepa bure kama Ox, Milner, Firmino, Keita.

Ujio wa huyu dribbler Cody unaweza kua jawabu la muda mrefu sana kwa Klopp tangu aodoke C10. Huyu Cody pamoja hua ana enjoi sana kucheza LW lakini yupo fresh akicheza namba 10 na false 9 pia kote hana noma anakipiga vizuri tu. Klopp amechungulia mbali sana kwa huyu dogo.


YNWA
 
Teh
FB_IMG_1672132598790.jpg
 
Screenshot_20221227_204400_com.android.chrome_edit_570870031183202.jpg


😂 😂 😂 😂 😂 😂 Huu ujumbe umefika kwa ma Yankees waelewe Klopp anahitaji kwa lazima wawekeze na sio ombi ni lazima wawekeze kununua wachezaji hakuna namna kununua bila kuuza hawakwepi.

Kwa Cody wameanza dirisha hili vyema sana sasa tuone na wengine wakitua

YNWA
 
🚨 NEW: Liverpool are now focusing on Enzo Fernandez, as it seems Jude Bellingham has made it known he wants to join Real Madrid. #lfc [marca]
😂😂😂Huyu dogo simwamini isije ikawa Sancho mwingine. Imagine Sancho anakula 350k kwa wiki mshahara dogo kajaa ela mpaka mpira umemshinda sasa yupo kama hayupo...

Ninachotamani ni wachezaji wa kazi kazi sio wauza magazeti.

Julian Ward afanye yake mapema hii habari tumalize.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom