The MoNA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 4,264
- 10,503
On the spot...
Baada ya covid kuzuka hawa jamaa wameonyesha mara kadhaa wana jambo lao kwanza walianza kuwapa wafanyakazi likizo bila malipo mashabiki wakisema haiwezekani bhana wakafyata, ikaja ishu ya Super League nako wakaangukia pua kote huko utaona ni dhahiri kabisa hua wanawaza namna ya kubakisha ela zaidi klabuni, ikaja suala la Gini kudai 200k ambayo alikua entitled kulipwa kwa kua dogo ni kazi hana stori nyingi, ikaja suala Mane akadai alipwa 240k na marupurupu wakasema no way.. Sasa kunakucha ndio wanastuka hakuna mchezaji wa kuuza ili wampe Klopp funding design kama C10 kipindi kile ndio hapo wakaona watue kwa Nunez ambae miaka 4 mbele atakua na resale value ya zaidi ya £150 m.
Klopp pamoja na mapungufu yake ya ualimu na upangaji kikosi hawa FSG amewapa utajiri balaa, unavyosema hawa wanasepa sababu ya Bellingham wala sishangai kabisa kwa kua hii ela lazima waitoe wao na sio eti tuuze ndio tununue.. Na unavyosema pia ishu ya Liverpool is way deep than MF ni kweli klabu inahitaji uwekezaji kila idara kuanzia MF, defence na mbele sasa hapo Klopp mwenyewe alishasema yupo tayari kusubiri dirisha moja ampate Bellingham na wengine kuliko kununua ili mradi kwa hilo tu Klopp kaingizwa chaka yaaani jamaa wameona timu ipo down ward trend wameamua wahesabu chao mapema wasepe. Kingine sasa ni kwamba Epl ina super powers zaidi Liverpool, wakiwemo Manchester United, Arsenal, Chelsea, Newcastle, Tottenham nk hawa wote wanaingia sokoni mazima hawatanii hapo tu inaonyesha usajili tu ndio utakua silaha kuu kushinda makombe sio bla bla za FSG.
Mambo ni mengi, aje mwarabu wa kwanza kutua ni Mbappe, Neves, Gapko, Bremerday dreaming
Hapa aje tu Mwarabu tusahau maumivu ya hawa jamaa.
YNWA
Mkuu hii ilikuwa wazi, sell to buy ilikuwa iwatoe KO mbaya na timu ingeanza kupungua mapato kwenye baadhi ya maeneo.
Hiyo summer haswaa wasingeweza maana
Milner
Keita
Ox
Hawa bye bye wasingetoboa kusajili more than 5 quality players kwa mkupuo. Walishakosea kwenye summer mbili kutosajili atleast 2-3 players.
Aje mwarabu au mhindi Ambani au atleast mchina, tofauti aje mmarekani tena




please?