Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Jamaa wajanja Sana, wameona kuwekeza pesa ndefu itakula kwao tu, maana wanataka sell Kisha buy,View attachment 2409499
Aiseee kwa taarifa hii ni dhahiri kuna wateja kama watatu hivi wameonyesha nia na ofa ambayo FSG wamevutiwa. Ukishaona taarifa kama hizi zinatolewa ujue FSG wanataka bidding war ili wapate highest bidder.
Kazi ipo.
YNWA
Klopp ka demand aletewe Bellingham , Dortmund anataka atleast £120m-150m
Hapo hapo wachezaji nafasi nyingine Wana umri unaelekea over 30, wamepiga hesabu wameona ikifika summer hawataweza kumleta Bellingham, na kuziba nafasi nyingine ,
Wameona wapate Chao mapema , ukiangalia hata hii Liverpool imejengwa kwa pesa za mauzo ya coutinho mwaka 2018 , rekodi zinaonesha ndio kipind Liverpool walitumia £177.5m , January na summer 2018 jumla walispend almost £210m
Ukifatilia utagundua Mzigo mkubwa ulitokana na Mauzo ya coutinho, Baada ya hapo Bila kuuza mchezaji hawawezi kutoa fungu kubwa.
Ili wasiingie mgogoro na mashabiki hiyo summer Wakati Bellingham akielekea Madrid, mancity au Chelsea , wameona Bora Wauze timu mapema wavune faida ,waliinunua Liverpool kwa £300m ,Kama sikosei, Sasa wataiuza kwa £4.5B




Alisson
Trent Alexander-Arnold
Virgil Van Dijk
Darwin Nunez
) and Ibrahima Konate (
) also outside contenders to go to Qatar.