Ni ngumu sana kwa hizi club pendwa kumilikiwa na ArabsArab owners please! We need you! We need fire power
Can't say otherwise Doc.Hawa tunawapiga finally ina likes ya kuwa Liverpool na psg au Liverpool na man city
Arab owners please! We need you! We need fire power
Kwa vile hii ni 2023 naamini yanayotukuta sasa tutakua tumekaa sawa.Hii ni bora kuliko ile ya fainali maana mnacheza mchezo mmoja tu.
Once beaten twice shy...Kumbuka kocha bado ni Don Carlo na timu yenyewe ni Real Madrid kwahiyo usije sema hatukukuambia mkuu 😀😀😀.
Madrid will be eliminatedKituko cha karne
Au Liverpool na Bayern?Hawa tunawapiga finally ina likes ya kuwa Liverpool na psg au Liverpool na man city
Ile mechi ya fainali ukiacha lile goli uliiangalia kwa makini kweli? Waliokuwa na hali mbaya ni Madridila.mwaka jana mlipata mseleleko aisee ,kudadeki ....
imagine
16 Bora ---porto mkampiga Tano kwake
Robo final ---benefica mkamchakaza
Nusu final ---villarealmbaya zaidi yalikuwa hayashituki kuwa ni mtego yakaona basi uefa ni yao wakati kuna wanaume wanapita kwenye tanuri la moto
Final
Real Madrid --- mlipigwa kifo Cha mende paaaaaaa chalii kimoja tu mkatoka nduki ,kudadekiii
This is uefa CL ....




Bayani amuna timu mukuuAu Liverpool na Bayern?
Naona wazee wa ku-walk alone mnafarijiana huku mkijua mna Salah pekee wakati wenzenu wana Ostadhi, Vini na Rodrigo.
Pale kati wana damu mbichi inapiga kazi ngumu nyie mnategemea vipenzi vya Clop Henderson na Milner, na kule nyuma wanaongozwa na mjuu wa Hitler jambazi kuu Rudger nyie mnategemea wachovu na uchochoro akina TAA.
Kwa kifupi tunasema RIP Liverpool
Timu yako yenyewe iko sokoni, hivyo usitegemee january kuongezwa mchezaji yeyote.Mkuu hizo mechi ni mwakani mwezi wa pili huko,acha kukalili.
Mukesh Ambani wanted to buy Liverpool in 2017, 2018 and 2021. But, FSG refused each time. He even bid £3 billion one time and is now preparing a £4 billion bid with guaranteed squad investment.View attachment 2409499
Aiseee kwa taarifa hii ni dhahiri kuna wateja kama watatu hivi wameonyesha nia na ofa ambayo FSG wamevutiwa. Ukishaona taarifa kama hizi zinatolewa ujue FSG wanataka bidding war ili wapate highest bidder.
Kazi ipo.
YNWA
Mkiwazima niite umbwa niko paleeeeView attachment 2409363
At last tunapata nafasi adimu sana kuwazima Real Madrid kwa mechi mbili nyumbani na ugenini.
Nimeipenda hii.
YNWA