Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sasa tutarajie viingereza vingi na komenti kama makala za magazeti.😂
Ndio ndio hasa kwenye makala za Anfield index Huwa wanachambua Sana!

Nafikiri KWENYE epl officials Huwa Wana regulate matokeo!kuua spin yawe ya aina FULANI hivi!

Nimefuatilia game za liver NIMEONA wakipigwa pini kama game ya fuham na arsenal,yaani marginal errors kutumika against lfc KULIKO Tim pinzani!zile penalt ni za mchongo Sana!!


Tatizo la liver ni kiungo cha Kati sio mane!kwasababu BADO Wana score magoli Halafu yanarudi, Thiago ni plastic,fabinho fatique,hendo fatique plus hana ufundi wowote on pitch,

Walikosea Sana kumng'ang'ania milner na charmbaline Halafu wakamuacha wijnuldum!HAPO ndipo KOSA kubwa lilifanyika hadi leo!!

After word cup ngoja Tuone momentum!!
 
Screenshot_20221113_141537_com.android.chrome_edit_126914548635319.jpg

Tutaelewana tu.

Huyu mwamba ni next level.

YNWA
 
Screenshot_20221113_141613_com.android.chrome_edit_126894432681156.jpg

Huyu dogo Ben Doak is the next MF/RAM wizard pazuri Klopp anakwenda nae taratibu sana mpaka pale ataona sasa muda mwafaka umefika ku unleash the boy.

Take him as our new Foden type of boy.

Keep that name in Mind... He is the next big product from Kirkby.

YNWA
 
Game ya jana Alison deserved man of the match kwa zile saves za second half
Allison changed FSG fortunes forever the moment he left Rome for Liverpool things has never been same again...

I feel for Manchester City Enderson ni kipa mzuri kwa Brazil lakini kwa Allison atasubiri sana kupata namba yaaani inakua design kama Neur na Testegen kule Ujeremani...

Kwa kweli Allison ni money spent wisely kwa namna yoyote ile.

YNWA
 
View attachment 2415489
Huyu dogo Ben Doak is the next MF/RAM wizard pazuri Klopp anakwenda nae taratibu sana mpaka pale ataona sasa muda mwafaka umefika ku unleash the boy.

Take him as our new Foden type of boy.

Keep that name in Mind... He is the next big product from Kirkby.

YNWA
Huyu dogo sikuwahi kumsikia wala kumuona. He's good left footer. Hakika anaweza kuwa mbadala mzuri sana wa Egyptian king, ana kasi ya ajabu.
Huyu Elliott naye ni kama Messi fulani au Derby walikuwa wabovu akapata nafasi ya kuwakimbiza?
 
Huyu dogo sikuwahi kumsikia wala kumuona. He's good left footer. Hakika anaweza kuwa mbadala mzuri sana wa Egyptian king, ana kasi ya ajabu.
Huyu Elliott naye ni kama Messi fulani au Derby walikuwa wabovu akapata nafasi ya kuwakimbiza?
Huyu dogo amezaliwa Scotland ana miaka 17 ni generation talent endapo akiwa well managed..

Liverpool walimnasa kutoka Celtic kwa £600,00 June 2022 akaingia timu ya vijana chini ya miaka 18 na kule ana balaa kwa mfano Uefa ana magoli ma nne na assist nne katika mechi nne na pia amefunga Premier League 2, EFL Trophy na Under 18 Premier League kote ametupia.

Klopp angekua kipofu asingeona ubora wa huyu dogo na ndio maana hata mechi ya juzi EPL vs Southampton dogo alikua pale benchi anaanza kupata ma feelings ya real action. Ile ya Derby ilikua kudhihirisha kwamba tuna pure gem kwa vijana.

YNWA
 
Huyu dogo amezaliwa Scotland ana miaka 17 ni generation talent endapo akiwa well managed..

Liverpool walimnasa kutoka Celtic kwa £600,00 June 2022 akaingia timu ya vijana chini ya miaka 18 na kule ana balaa kwa mfano Uefa ana magoli ma nne na assist nne katika mechi nne na pia amefunga Premier League 2, EFL Trophy na Under 18 Premier League kote ametupia.

Klopp angekua kipofu asingeona ubora wa huyu dogo na ndio maana hata mechi ya juzi EPL vs Southampton dogo alikua pale benchi anaanza kupata ma feelings ya real action. Ile ya Derby ilikua kudhihirisha kwamba tuna pure gem kwa vijana.

YNWA
Dogo yuko vizuri mno. Anajua kuutumia mguu wake, ana mguu mqepesi mithili ya Bernado Silva na anakimnia kumfuata beki. Ndiposa akikutana na beki mithili ya Kulibaly lazima azoe penati za kutosha tu.
 
Dogo yuko vizuri mno. Anajua kuutumia mguu wake, ana mguu mqepesi mithili ya Bernado Silva na anakimnia kumfuata beki. Ndiposa akikutana na beki mithili ya Kulibaly lazima azoe penati za kutosha tu.
Coolberry katoka zake Napoli kaja kwa meli inayozama Darajani ni balaa tupu wakati kule Stadio Maradona taa limewaka wanautaka ubingwa wa Serie A msimu huu.

Maisha bhana angejua haya wala asingefosi uhamisho kuja Darajani.

Huyu Ben yupo super direct akisha mature atakua a menace kwa mabeki balaa. We are lucky to have this super gem 💎.

YNWA
 
Premier League referee Michael Oliver has personally apologised to Jürgen Klopp and held his hands up for his mistakes in the match between Liverpool and Arsenal this season. #LFC


Haya mambo hukera kweli. Points zote zimeenda siye tunaishia kupata Samahani.
Huyu na yule aliyewanyima Everton penati siku waliyocheza dhidi ya Man City(iliyowanyima ubingwa Liverpool) ni kati ya marefa wa ovyo mno.
Hakika samahani zao hazina msaada wowote wakati wametuangamiza.
 
Premier League referee Michael Oliver has personally apologised to Jürgen Klopp and held his hands up for his mistakes in the match between Liverpool and Arsenal this season. #LFC


Haya mambo hukera kweli. Points zote zimeenda siye tunaishia kupata Samahani.
Unaamini huu ujinga, vipi everton walivyonyimwa goli pale anfiled ,waliombwa msamaha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom