Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Klopp umesahau mzee wa kujaribu yanayopingwa na wengi yeye hua upande wake peke yake.. Tazama Carragher anamwambia Klopp lazima umbakishe Mane kikosini amekua mchezaji bora tangu January 2022 kwetu akichangia pointi muhimu na ushindi muhimu wakati huo Salah amepoteana kabisa lilibaki jina lakini Klopp huyu huyu wala hakujuli ushauri wa Carragher akaona aa mie sipangiwi kamwe huyu Mane asepe zake... Sasa come October 2022 Klopp kimya kimya kimya anajilaumu mwenyewe bila kwa nini hakusikiliza...You don't need to trust in klopp
Mpira ni investment watu wana invest wapate fan base wapate na faida wasichojua fsg ni kwamba liva tunapoteza mvuto kabisa kwa sasa na wanafanya utoto... Na klopp sijui kwa nini yupo upande wao
Mimi ntamlaum klopp mpaka mwisho kwa yanayoendelea unauza mane unaleta nunez
Huyu Mzee ana roho ngumu sana yaaani anaulizwa eti unasajili MF anadai hapana MF imejaa kuna Kieta,Milner, Henderson, Jones, Oxlade-Chamberlain haha like serious hao wote ni medium players wa hukoo nafasi ya 10+kimsingi MF ya Liverpool ina wachezaji wawili tu Fabinho na Thiago... Elliott na Fabio ni raw talent wana future ila kwa sasa bado sana.
Carragher alishauri vyema sana bakisha ever fit Mane kwa gharama yoyote na tetesi anakula 250k+ pale Bayern ela ambayo pale FSG ipo ila ubahili tu...
Klopp shame on you.
YNWA
