Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Heeeeeee I agree Liverpool imefika mwisho enzi zina mwisho
Kama wachezaji wenyewe wanaendekeza ngono zembe unategemea nini?
Screenshot_20221005_123719.jpg
 
Ni kupambana nae tu hakuna namna na kwa sasa Arsenal wana udhubutu, wana harmony, wana endurance, resilience, wana perseverance, wana mission, wamemwalewa Kocha nk hizo zote ni aspect za mshindani...

Kipara ashushwe tu tupumue.

Kwa sasa Liverpool bora kujiwekeza kusaka vipaji wanunue January 2023 na kujipanga kwenda kushinda UCL msimu huu inakua na asilimia kubwa kushiriki Uefa msimu ujao bila kutegemea kuingia Big 4.

YNWA
[emoji3064][emoji3064][emoji3064] Arsenyani hawahawa ninaowajua mimi ndio unawalia yamini ya kutunishiana misuli na Pep?
Hapo jiandae kwa maumivu mengine Captain.
Ninakuhakikishia mechi za mwisho za ligi mtakua mnshindana na Arsenyeto kupambania kuingia kwenye top 4.
Kuna kila dalili Arsenyani Europa inamhusu tena msimu ujao.
 
Kumkimbiza kipara aliye serious Kwa njia za janjanjanja lazima achoke.

Hili lizee umefika muda kuondoka.. Captain sijui hata mnang'ang'ania Nini huyu Baba.
Klopp the Legendary Pound for Pound manager the heavy weight no more at least for now 😂😂😂😂...

Hali ni mbaya sana kwa wiki ya pili tunapigwa na klabu iliyopo kwenye nafasi ya kushuka daraja, walianza Nottingham na sasa Leeds wameodoka na pointi kwetu yaaani kimasihara.. Katika hesabu zangu sijawai hesabu hizi gemu mbili kama za kuodoka patupu kwetu lakini ndio tupo hapa gemu 2 = 0 points beaten home n away...

Hatuna jipya la kusema kuhusu hii timu zaidi wachezaji wamefika mwisho wa uwezo wao kutokana na kutumika kama ma robot bila like for like benchi players...

Klopp is a confused fella hata simple basics za nani awe main threat pale mbele nako anachemka... Pep kawaambia wachezaji wake pass the ball to Haaland boy will score hapa kwetu ni kila mmoja anapiga anavyojua yeye maama wote wafungaji... Timu haina haina utulivu jambo ambalo tulikua nalo hata ikiwa dakika 90 na tupo 1 1 vijana zamani walikua na utulivu na magoli yalipatikana nadhani last season tulikua bora kupata magoli dakika ya 90+.

Jota na Diaz ni mpaka 2023 wanarejea hivyo ndugu zangu tuwe na subira tuta shinda leo kesho tunapigwa yashakua maisha ya kawaida...


YNWA
 
Kumkimbiza kipara aliye serious Kwa njia za janjanjanja lazima achoke.

Hili lizee umefika muda kuondoka.. Captain sijui hata mnang'ang'ania Nini huyu Baba.
Hilo Kopo lenu kipigo cha jana amesingizia nini kwenye press?
Hachelewi kusema wachezaji wake walipewa uji bila sukari hivyo wakakosa balance uwanjani hali iliyopelekea kutoa maboko uwanjani.
Bila ya kitimua huyu kocha msitegemee mtapata mafanikio yoyote kwa kipindi hiki.
 
[emoji3064][emoji3064][emoji3064] Arsenyani hawahawa ninaowajua mimi ndio unawalia yamini ya kutunishiana misuli na Pep?
Hapo jiandae kwa maumivu mengine Captain.
Ninakuhakikishia mechi za mwisho za ligi mtakua mnshindana na Arsenyeto kupambania kuingia kwenye top 4.
Kuna kila dalili Arsenyani Europa inamhusu tena msimu ujao.
😂 😂 😂 😂 Kwamba Arsenal hawatafanya yale ya Leicester aaa najua wana kibarua kikali sana mbele yao lakini msimu huu wameonyesha ukomavu wa hali ya juu ya kua na mipango kusaka ushindi,...

Sasa Flano huyu Kipara ni rasmi sasa hii ligi akichukua tena itakua farmers league na akichukua tena huyu anaweza asiongeze mkataba anasepa zake kwa rekodi matata sana. Lazima azimwe sio Liverpool kibarua hicho tumechemka angalau Arsenal msimu huu anaonyesha udhubutu...

Aisee hii Liverpool una imani nayo kwamba hata Europa tutaisaka kweli msimu huu sidhani maana ni Arsenal, Manchester City, Tottenham, Manchester United, Chelsea, Newcastle sioni hio trend ikiwa tofauti sana hao ndio wanapambana nafasi za juu. Klopp afanye jambo moja tu akomae na UCL basi huku kwenye Epl tushachemka.

Ahueni yetu ni world cup yale mapumziko yanakuja wakati sahii sana kwa wachezaji wetu.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom