Narekeremo
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 722
- 768
Na atawagongesha tu wala halipingiki hilo.Napoli ataenda kutufunga tena
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Na atawagongesha tu wala halipingiki hilo.Napoli ataenda kutufunga tena
Couldn't agree otherwise...Without Alisson
Liverpool are bottom of the league
Aaa au ukawapikie wali na ndizi za mbeya mixa pengine wataamka usingizini.Hata ningekuwa mimi ningechoka
Kucheza non stop mechi zote na Wala huwa hapumziki
Nunez ni new carrol chance za wazi kabisa anakosaNasimama na Nunez kwamba sio new Carroll nina imani kubwa huyu dogo kwa service kama ya Debruyne... Kwa sasa lawama zitakua nyingi lakini hii timu ishapoteana... Klopp is losing control of scenarios hana tena magic touch to turn this around... Lucky Klopp World Cup is coming in November 2022...
Kwa sasa ni Allison tu anaejua nini jukumu lake uwanjani hawa wengine kwenye ku wa rate ni below 5 out 10.
Liverpool inasifika kwa kucheza ubora wao wakicheza kama unit na sio ubora wa mchezaji mmoja mmoja kwa hivyo kwa sasa mbele hakuna pressing, kati wankua outpassed, backline wanakua out classed...
Upande wa pili shiliingi ni kwamba tumecheza vyema sana hizi gemu 2 ukiacha hata zile tumeshinda maara ukitazama nafasi za kufunga tulizopata gemu ya Nottingham na Leeds ni nyingi tu lakini hatukua clinical wakati sahihi.
Mazoezini Klopp anyooshe maneno aseme laivu bila chenga mfumo ni huu na Salah au Nunez ndio focal point period... He has to borrow some notes from Fergie kwenye hilo.
YNWA
Ntawalisha magimbi mazima mazima yakaimarishe vigimbi vyaoAaa au ukawapikie wali na ndizi za mbeya mixa pengine wataamka usingizini.
YNWA
Na hizo zote utakuta tunafungwa!View attachment 2402554
Mechi ndio hizi. Mambo yatakua magumu twendako.
Ni kama mechi kila baada ya siku 3 kama kawaida ni marathon...
YNWA
Spurs na Napoli tukiambulia draw tushukuruWe are not going to beat Spurs. Mark this you will remind me 5th of nov.
Basi Liverpool wanadharau team ndogo aise,Karata zenu huu msimu ni UEFA tu atleast mfike Nusu fainalLeeds walikimbia kilometres 12 zaidi kuliko Liverpool
Time will tell.Nunez ni new carrol chance za wazi kabisa anakosa
Almost the same starting line up since 2018 sababu Klopp ni muoga wa ku demand investment kutoka kwa wenye timu na hata anapo demand ni mwendo wa sell to buy wenyewe FSG wakisingizia ela zao wanawekeza kwa ujenzi na sio ela yao ni mikopo long term....Kuna mashabiki wa Liverpool walikuwa wanasema mbona hatujasajili na tumechukua makombe?
Kwa hali ilivyo sasa hawatathubutu kusema hivi.
FSG OUT KLOPP STAY
Haya sasa,Toka preseason sikuwahi kuamini huyu Nunez ana maajabu yoyote
Hana tofauti yoyote na Minamino au Origi
Tony Cascarino:
“Darwin Nunez is only a minor upgrade on Divock Origi and is not the right man to lead Liverpool’s line. The Uruguay international does not appear technically good enough and he loses the ball too quickly.” #lfc [times]
Ndio uwezo wetu Miss Liverpool.Na hizo zote utakuta tunafungwa!
Uwezo wetu haujaishia hapa ila upumbavu wa wakubwa huko juu ndio uliotufikisha hapa.Ndio uwezo wetu Miss Liverpool.
Hakuna namna.
Kuna giza nene sana. Hivi kwa mfano huyu VVD tangu aanze kulipwa 220k kwa wiki ameona amefika sio... Ishu sasa hata acheze vimbaya vipi hakuna mbadala wake...
YNWA
Aafu unamkimbiza Kipara nafasi ya VVD kuna Stones, Laporte, Diaz, Ake na Akanji🤔🤔🤔asa hapo unadhani akiumia mmoja, hao wengine wanatoa out put ile ile ama even more better... Sasa kwetu actually mwenye mbadala wa uhakika ni Robertson ambae anasaidiana na Tsimikas ambae kwa nyakati kadhaa amekua super substitute....Uwezo wetu haujaishia hapa ila upumbavu wa wakubwa huko juu ndio uliotufikisha hapa.
Kitendo Cha kutokuwa na substitute ya VVD ndo upumbavu wenyewe sasa😁
Sisi mashabiki hatuna msaada wowote kama watu wameamua kuwa walafi,wanabubuna Hela zote pekeyao na wanataka wachezaji wacheze kama mashine,hata daktari hawana.Aafu unamkimbiza Kipara nafasi ya VVD kuna Stones, Laporte, Diaz, Ake na Akanji🤔🤔🤔asa hapo unadhani akiumia mmoja, hao wengine wanatoa out put ile ile ama even more better... Sasa kwetu actually mwenye mbadala wa uhakika ni Robertson ambae anasaidiana na Tsimikas ambae kwa nyakati kadhaa amekua super substitute....
Hii timu ilikua inatembelea bahati kwa miaka mingi sana na bahati ilivyo hua ina favour prepared mind lakini sasa lol tupo likizo maana hata wachezaji wakihojiwa wanaulizwa nini kimewakuta wanabaki kujing'atang'ata mara hivi mara vile...
We are poor because we are poor how we get back to the best of the best is accepting kwanza we are in deep shit aafu ndio tuanze recovery haya ya kushinda leo tunaanza kuota then next day kipigo tunaanza kununa hayasaidii kabisaa... Its a collective efforts wachezaji mashabiki nk
YNWA
Klopp pamoja na wamiliki wametuangusha kutosajili wachezaji kwenye nafasi ya kiungo ambapo ndio Engine room,its a major failureAafu unamkimbiza Kipara nafasi ya VVD kuna Stones, Laporte, Diaz, Ake na Akanjiasa hapo unadhani akiumia mmoja, hao wengine wanatoa out put ile ile ama even more better... Sasa kwetu actually mwenye mbadala wa uhakika ni Robertson ambae anasaidiana na Tsimikas ambae kwa nyakati kadhaa amekua super substitute....
Hii timu ilikua inatembelea bahati kwa miaka mingi sana na bahati ilivyo hua ina favour prepared mind lakini sasa lol tupo likizo maana hata wachezaji wakihojiwa wanaulizwa nini kimewakuta wanabaki kujing'atang'ata mara hivi mara vile...
We are poor because we are poor how we get back to the best of the best is accepting kwanza we are in deep shit aafu ndio tuanze recovery haya ya kushinda leo tunaanza kuota then next day kipigo tunaanza kununa hayasaidii kabisaa... Its a collective efforts wachezaji mashabiki nk
YNWA