Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,448
- 32,877
Ni kupambana nae tu hakuna namna na kwa sasa Arsenal wana udhubutu, wana harmony, wana endurance, resilience, wana perseverance, wana mission, wamemwalewa Kocha nk hizo zote ni aspect za mshindani...HÀTUTOKUANGUSHA,YAANI KIPARA ANAPAMBANA NA KIVULI CHAKE,HATOBOI KWA MIKEL.....KINYAGO KACHONGA MWENYEWE....
Kipara ashushwe tu tupumue.
Kwa sasa Liverpool bora kujiwekeza kusaka vipaji wanunue January 2023 na kujipanga kwenda kushinda UCL msimu huu inakua na asilimia kubwa kushiriki Uefa msimu ujao bila kutegemea kuingia Big 4.
YNWA