Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

HÀTUTOKUANGUSHA,YAANI KIPARA ANAPAMBANA NA KIVULI CHAKE,HATOBOI KWA MIKEL.....KINYAGO KACHONGA MWENYEWE....
Ni kupambana nae tu hakuna namna na kwa sasa Arsenal wana udhubutu, wana harmony, wana endurance, resilience, wana perseverance, wana mission, wamemwalewa Kocha nk hizo zote ni aspect za mshindani...

Kipara ashushwe tu tupumue.

Kwa sasa Liverpool bora kujiwekeza kusaka vipaji wanunue January 2023 na kujipanga kwenda kushinda UCL msimu huu inakua na asilimia kubwa kushiriki Uefa msimu ujao bila kutegemea kuingia Big 4.

YNWA
 
Go Arsenal Go Arsenal...

Kwa kushinda EPL nipo na jamaa zangu wa Gunners.

Ishu hapa ni kipara huyu mwamba kumshusha awe 1st Runner Up sio jambo jepesi Klopp kamkimbiza kaishia kuchoka balaa na sasa hata uhakika wa Big 4 kila kukicha unazidi kutukimbia kwa mwendo wa 5G.

Klopp yanayotukuta kayataka mwenyewe wala hakuna mwingine, wachezaji wa bei chee tangu 2020 wapo sokoni lakini mzee baba anakomaa na wachezaji wale wale. Ukisoma vyema historia ya Bill Shankly utaona haya ya sasa Klopp yalimkuta kwa kukomaa kikosi cha wazee kwa kuchelewa kusajili damu changa wakati sahihi, Liverpool kwa sasa ni ya nafasi ya tatu kwa kua na kikosi chenye wazee wengi maanake ubora wao umechuja parefu sana na hili limepelekea hakuna timu inatuogopa aidha tuwe ugenini au tuwe nyumbani.

YNWA
Kumbe Kuna timu zimetuzidi kukumbatia michezaji mizee!
 
Go Arsenal Go Arsenal...

Kwa kushinda EPL nipo na jamaa zangu wa Gunners.

Ishu hapa ni kipara huyu mwamba kumshusha awe 1st Runner Up sio jambo jepesi Klopp kamkimbiza kaishia kuchoka balaa na sasa hata uhakika wa Big 4 kila kukicha unazidi kutukimbia kwa mwendo wa 5G.

Klopp yanayotukuta kayataka mwenyewe wala hakuna mwingine, wachezaji wa bei chee tangu 2020 wapo sokoni lakini mzee baba anakomaa na wachezaji wale wale. Ukisoma vyema historia ya Bill Shankly utaona haya ya sasa Klopp yalimkuta kwa kukomaa kikosi cha wazee kwa kuchelewa kusajili damu changa wakati sahihi, Liverpool kwa sasa ni ya nafasi ya tatu kwa kua na kikosi chenye wazee wengi maanake ubora wao umechuja parefu sana na hili limepelekea hakuna timu inatuogopa aidha tuwe ugenini au tuwe nyumbani.

YNWA
Kumkimbiza kipara aliye serious Kwa njia za janjanjanja lazima achoke.

Hili lizee umefika muda kuondoka.. Captain sijui hata mnang'ang'ania Nini huyu Baba.
 
Sijui wale madogo ,pumzi waliitoa wapi ya kupambana vile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]madogo wamekimbia uwanja mzima bila kuchoka ,walikuwa physically fit ,nilijua labda pumzi itakata labda dakika za 70 ,ila moto uliendelea kutembea anfield,Leeds waliwaka kweli kweli Kama real Madrid [emoji23][emoji23][emoji23]

Walikuwa wametumwa sio bure aisee ..

This is epl ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom