Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool tunapita kipindi kigumu na hii ni kawaida ya team zote huwezi kwenda tu umenyoka kuna wakati mgumu na sisi washabiki wa Liver hii wala sio mara ya kwanza labda kama wewe ndio umeanza kuipenda Liver leo, ila pamoja na hayo tukosoe mimi tatizo kubwa naloliona kwenye kiungo kuna haja kubwa sana ya kueleta upgrade watu wawili kwa maana zaidi ya hawa tulioo nao ila shida nyingine kubwa Mo anatakiwa abadilike awe feeder sio main striker system inabadilika anakaa sana na mpira badala ya kuachia kwa striker Darwin, team inajengwa kumzunguka number 9 yeye bado yuko katika 433
 
Kinachosemekana mabrazil wamemaindi sana
download.jpg
 
Kinachosemekana mabrazil wamemaindi sanaView attachment 2382361
Ukiangalia hii picha vile Firmino anamuangalia captain wake ni wazi kuwa ata yeye ameshangazwa Kwa kilichotokea, ni kama vile haamini kuwa captain wake ndio kafanya hivo

Kama ni kweli aliongea maneno mabaya juu ya Gabriel, kutokana na Heshima yake pale Liverpool na England Kwa ujumla atakuwa amekosea sana, na ataandamwa sana kutokana na uwepo wa wabrasil katika team yake

4000.jpg
 
Haya Arsenal ndugu zangu DullyJr na Aaron Arsenal nawapa hongera sana.
Mkimbizeni Kipara tuliemshindwa mpaka alegee. Nawapa sapoti yangu msimu huu mpo vzuri mna benchi safi nimeona hata sub mnatoa jembe mnaingiza jembe kwa kweli mambo mazuri sana kwenu.

Kwa sasa Liverpool wazee wetu hakuna namna wapo hoi sana tutakwenda hivi hivi mpaka dirisha la January kama Klopp ataacha ubishi asajili angalau tupambane kuingia Europa... Kwa hawa wachezaji ni ishara sasa wameshafika mwisho wanahitaji damu changa kuwaamsha na kuwapa changamoto...

Hii ndio madhara ya kikosi kua finyu wachezaji wametumikaaaa mpaka basi aafu they care less wanavyocheza sababu wanajua namba watapata tuuuuuuuu next gemu...

YNWA
Shukran mwana Liverpool halisi,

Liverpool mnahitaji overhaul kubwa ,salah toka asain mkataba mpya kawa vetaran Kama Kagere

Tupo na Arteta since day one , kwenye shida na raha , now tumebakiza mech 1 ngumu against City

Ambayo itachezwa after world cup

Kiukweli mech ngumu kwetu ilikuwa no hii ya Liverpool , ndio mech pekee tuliyofosiwa hata kubadili mbinu ,hata buildup hatujaitumia ,

Nilisema juzi Zile Mechi mbil round ya 2 dhidi ya Liverpool na city pale Emirates tulikuwa tunatuma ujumbe wapi tunaelekea .
 
Ukiangalia hii picha vile Firmino anamuangalia captain wake ni wazi kuwa ata yeye ameshangazwa Kwa kilichotokea, ni kama vile haamini kuwa captain wake ndio kafanya hivo

Kama ni kweli aliongea maneno mabaya juu ya Gabriel, kutokana na Heshima yake pale Liverpool na England Kwa ujumla atakuwa amekosea sana, na ataandamwa sana kutokana na uwepo wa wabrasil katika team yake

View attachment 2382496
Sujui kwenye hili anaponaje huyu mwamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom