Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,844
- 16,298
Kuna tetesi zinasambaa kwa kasi sana kwenye mitandao ya kijamii kua hatimae Saint Anne ameamua rasmi kuachana na Liverpool na sasa hivi amekua shabiki kindakindaki wa Bayern Munich.
Case study ni KDB kutoka kua mfungaji tegemezi na kua feeder mkuu wa Halaand hakika kwa haya mabadiliko yamesaidia kuwapaisha Manchester City parefu sana maama wengi focal points ni Halaand...Liverpool tunapita kipindi kigumu na hii ni kawaida ya team zote huwezi kwenda tu umenyoka kuna wakati mgumu na sisi washabiki wa Liver hii wala sio mara ya kwanza labda kama wewe ndio umeanza kuipenda Liver leo, ila pamoja na hayo tukosoe mimi tatizo kubwa naloliona kwenye kiungo kuna haja kubwa sana ya kueleta upgrade watu wawili kwa maana zaidi ya hawa tulioo nao ila shida nyingine kubwa Mo anatakiwa abadilike awe feeder sio main striker system inabadilika anakaa sana na mpira badala ya kuachia kwa striker Darwin, team inajengwa kumzunguka number 9 yeye bado yuko katika 433
Iwe jua iwe mvua Liver DamudamuKuna tetesi zinasambaa kwa kasi sana kwenye mitandao ya kijamii kua hatimae Saint Anne ameamua rasmi kuachana na Liverpool na sasa hivi amekua shabiki kindakindaki wa Bayern Munich.
Tumekwisha!Get well soon Diaz
🚨 BREAKING: Luis Diaz is out until December with the knee injury he sustained at Arsenal. #lfc [dominic king - mail]
Tumefungwa tena?Ukiangalia hii picha vile Firmino anamuangalia captain wake ni wazi kuwa ata yeye ameshangazwa Kwa kilichotokea, ni kama vile haamini kuwa captain wake ndio kafanya hivo
Kama ni kweli aliongea maneno mabaya juu ya Gabriel, kutokana na Heshima yake pale Liverpool na England Kwa ujumla atakuwa amekosea sana, na ataandamwa sana kutokana na uwepo wa wabrasil katika team yake
View attachment 2382496
Nimemwelewa vyema sana Legend Edu kumbe alikua na road map nini anataka kuleta Arsenal.. Yaaani sasa Arsenal mna kikosi kipana na kichanga kuliko Liverpool damn interesting....Shukran mwana Liverpool halisi,
Liverpool mnahitaji overhaul kubwa ,salah toka asain mkataba mpya kawa vetaran Kama Kagere
Tupo na Arteta since day one , kwenye shida na raha , now tumebakiza mech 1 ngumu against City
Ambayo itachezwa after world cup
Kiukweli mech ngumu kwetu ilikuwa no hii ya Liverpool , ndio mech pekee tuliyofosiwa hata kubadili mbinu ,hata buildup hatujaitumia ,
Nilisema juzi Zile Mechi mbil round ya 2 dhidi ya Liverpool na city pale Emirates tulikuwa tunatuma ujumbe wapi tunaelekea .
Pole sana kwa kipigoz🤣🤣🤣🤣🤣Iwe jua iwe mvua Liver Damudamu
Nitaendelea kuwa Shabiki wa Mane ila hakuna mchezaji atanihamisha timu.
Tumefungwa na nani?Pole sana kwa kipigoz🤣🤣🤣🤣🤣
Kabisa, Liverpool dam damIwe jua iwe mvua Liver Damudamu
Nitaendelea kuwa Shabiki wa Mane ila hakuna mchezaji atanihamisha timu.
Hakuna mtu mkubwa kuliko LiverpoolKabisa, Liverpool dam dam
Kwa sababu hakuna Ile Combination ya kwake na Mane.Hivi kushuka kiwango kwa Salah ni kwa sababu ya kuridhika na mshahara mpya au umri?
Kuongezea tulikuwa tunasajili wachezaji wanao fit mfumo wa 433 sasa kama tunaenda 4231 au 352 basi tusajili wachezaji wanoweza kuendana na mfumo huo kwa maana recruitment yetu ni lazima ibadilike ila kama tutatumia mifumo yote jambo naloliona sawa basi Mo sio lazima acheze kila mechi itakuwa mtu anapangwa kutokana na mahitaji ya mfumo unaweza kuwa mchezaji mzuri sana lakini system tunayocheza siku hii haufit hii linataka ujasiri lakini pia linahitaji muda ili team ikae imara.Case study ni KDB kutoka kua mfungaji tegemezi na kua feeder mkuu wa Halaand hakika kwa haya mabadiliko yamesaidia kuwapaisha Manchester City parefu sana maama wengi focal points ni Halaand...
Hapa kwetu wala Klopp hana huo ubavu wa kukomalia Salah au Diaz kum feed Nunez kama main threat wetu.... Nunez akomae mwenyewe kusaka magoli kivyake akisubiri aletewe na Salah hakika atasubiri sana kwanza Salah mwenyewe anakitaka kitu cha ufungaji bora hivyo mwenyewe anataka magoli.... Mind set ya wachezaji wetu pale mbele inabidi waelewe mfungaji ni Nunez wampe sapoti kadri wawezavyo...
YNWA
Huyu Mr Ward ana kibarua kigumu sana pale klabuni kwani ameridhi kikosi kilichochoka balaa kuanzia mbele kati na nyuma panahitaji uwekezaji mkubwa sana ishu sasa ni pale FSG wanataka kuedelea na sell to buy unajiuliza sasa hii timu tumuuze nani haswa kuzichanga mapene ya kununua je tuuze Keita, Ox, Phillips nk hao hii January kwa pamoja hata 25m hatupati kwa sasa..Kuongezea tulikuwa tunasajili wachezaji wanao fit mfumo wa 433 sasa kama tunaenda 4231 au 352 basi tusajili wachezaji wanoweza kuendana na mfumo huo kwa maana recruitment yetu ni lazima ibadilike ila kama tutatumia mifumo yote jambo naloliona sawa basi Mo sio lazima acheze kila mechi itakuwa mtu anapangwa kutokana na mahitaji ya mfumo unaweza kuwa mchezaji mzuri sana lakini system tunayocheza siku hii haufit hii linataka ujasiri lakini pia linahitaji muda ili team ikae imara.